mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,792
IPO siku mtamuelewa.uko alipo ndipo mahali sahihi.kila LA kheri makonda.
Don't trust these guys lying is within their lips even to own names!!
Labda sala za kule zitabadili matokeo, maana yule askofu alisema kwake hakuna namna yatabaki yalivyoMasheikh hawawezi kufanya issue ya vyeti isahaulike.
Matatizo ya kufoji vyeti basi.Kila siku anaombewa !! Anamatatizo gani ! ?
Harafu ndg yangu hawa watu wamekaa kimaslahi tu, lile dua la mashekhe halitafaulu abadan labda asilimu, vinginevo wamempiga changaBaada ya kumwambia alitakiwa kuvua viatu kaamua kurudi tena. Ana wasiwasi zile sala hazikufika ndiyo maana akaendelea kusakamwa. Na wasiwasi na mungu wake anayemwamini.haiwezekani kuzunguka kwa maaskofu,wachungaji,masheikh kwa ajili ya dua tu. Kujifananisha na Mungu ni kosa kubwa sana sasa tuone huyo mungu anayemtafuta tena wakati yeye alisema ni mungu. Huu ni mwezi wa kwaresma hajafunga? Hapo makonda yuko kwenye imani gani? Ya waislamu au wakristu? Masheikh wanamuomba Mungu wanayemwamini wao na makonda mungu anayemwamini je atafanikiwa? Halafu kulikuwa na ulazima gani hadi taarifa zitoke kwenye habari? Hiyo ni dhihaka mbele ya masheikh na mungu. Wiki iliyopita uende na viatu leo uende na kanzu ukikosolewa tena utaenda na nini?
Nataka kumuombea huyu binadamu mkuu wa mkowa wa dar... lakini sijui yeye ni Bwana Daudi Bashete au ni pole makondo !!! saidienileo tena au?