Makonda akiombewa dua na Mashehe

Makonda akiombewa dua na Mashehe

Bashite aombewe mayai yakomae aweze kuzalisha ila swala la vyeti hata wamuombee miaka 20 mfululizo zero itabaki kuwa ziro na forgery itabaki kuwa forgery.
 
Unajua jina la DAUDI hata waislamu wanalo. Lakini Daudi huyu mtoto wa Bashite kutoka Kolomije.. Anachofanyiwa hapo anapigwa albadir bila ya yeye kujua, akija kuzindukana tu lazima ataokota makopo.
 
Bashite aombewe mayai yakomae aweze kuzalisha ila swala la vyeti hata wamuombee miaka 20 mfululizo zero itabaki kuwa ziro na forgery itabaki kuwa forgery.
Somo wako bwana Daudi aliambiwa dawa ya kubadilisha Zero ni ku rudia mitihani na si kuombewa dua asizozijua maana yake, lakini kazidi kung'ang'ania.
 
number yangu ya simu ni Bashite 7134bashite, bashite,bashite1bashite.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom