gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,585
Duuu!Hapo kwenye kumkamata sasa au unaendelea kwa wakati wako!!!!!!!!!!!!!!!Hawa mashoga hata sio kazi kuwapata..Wanajiachia sana siku hizi..Mtu unaweza kuchat nae leo kesho ukamkamata..
Duuu!Hapo kwenye kumkamata sasa au unaendelea kwa wakati wako!!!!!!!!!!!!!!!Hawa mashoga hata sio kazi kuwapata..Wanajiachia sana siku hizi..Mtu unaweza kuchat nae leo kesho ukamkamata..
James auKuna shoga mmoja huko istagram kapani
Mwambieni asiache kuwakamata na mabasha mana nadhani hao ndio chanzo cha tabia hii,naona kama wataendeleza kwa vijana wengine, ni mtazamo tuu.Maofisini wengi sana hawa...kazi itakua kubwa kuwakamata.
Huko hawezi kugusa.. Shisha lenyewe litampoteza.. Wataishia kukamatwa watoto wa vyuo.. Shisha wanavuta waarabu.. Sasa yeye kama kidume aende akajarobu kuwakamata waarabu aone kama gsm watampa futari tenaAchana nao huo mfupa umemshinda fisi ( mama mzazi/mlezi ) hautauweza wewe
Kama vipi awatafute drugs lord ambao ni maarufu uko kino na magomeni awashtaki na kuwafunga
Sasa xbiti gani utakuwa nacho?? Ns mashahidi pia
Who is marekani katika taifa letu la Tanzania!!Marekani wameruhusu ushoga hadi jeshini... Makonda hajui anachotaka kukifanya.. Kwenye hili marekani watakuwa very serious na harshy.. Msishangae misaada yote kufutwa
Jifanya tu hujui.. Akikukazia huyu utahenya mpaka basi.. Jifanye tu " who is marekani"Who is marekani katika taifa letu la Tanzania!!
Huwa wanapimwa katika hilo eneo!Sasa xbiti gani utakuwa nacho?? Ns mashahidi pia
Akimaliza hao aanze na mabasha wao Kama hatutaona viongozi wa serikali nao mtegoniMkuu wa mkoa wa dsm kasema kuwa atapambana na mashoga popote walipo ataenda hadi mahotelini.. Source Magazetini
My take: kuwafuata mashoga mahotelini ni hatari. Ila nampa support yangu. Hii hulka ya ushoga ni mbaya sana
=======
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametangaza operesheni ya kuwasaka mashoga jijini humo.
Makonda amesema vitendo hivyo vimeanza kuongezeka jijini humo na lengo lake ni kuwaokoa watoto wasiige mambo hayo yanayoonekana kukua kwa kasi.
Bosi huyo wa mkoa amesema, “hili ni tatizo linalokua kwa kasi sitaruhusu liendelee katika mkoa wangu, nitawasaka popote walipo”.
“Hata hapa bandari wanaweza kuwapo mashoga wafichueni, mkiona mtu ana tabia za ajabu ajabu mfichueni, tutashughulika nao”.
Chanzo: Mwananchi
wewe ulitaka wapate shida ili ufurahi?
Aisee umemsaidia sanaa!! In short hotelini sidhani kama atawapata.. Na je atajuaje kuwa huyu ni shoga?
[emoji12]Wanatukana balaa. Yaani matusi yao hayaandikiki. Ndio Defense Mechanisms yao.
[emoji41] [emoji41]ushoga hauwezi kukomeshwa, trust me.
labda waupunguze, "LABDA".