Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,941
- 3,964
Hahaaaaaa maswali ni mengi kuliko majibuSasa hao mashoga akishawakamata atawafunga kwenye jela ya Wanaume Au wananwake? Kama ya Wanaume hatar
Hahaaaaaa maswali ni mengi kuliko majibuSasa hao mashoga akishawakamata atawafunga kwenye jela ya Wanaume Au wananwake? Kama ya Wanaume hatar
Anakurupuka balaaYes huyo ndiye mkuu wetu wa mkoa
mh "natafuta kiki".....kama raymond wa wasafi....sheria inakataza kuwa na mapenzi ya jinsia moja..sasa ukiwakamata mashoga lazima wakaoneshe hawa jamaa walikuwa "wanafanyana" sexual intercourse..maana mashoga wengine ni biological issues na si lazima apigweHahahahha.... Sasa ukimkamata mtu utakuwa na ushahidi gani kuwa yeye ni shoga...??
hata ukiweka sheria bila kuwakamata =bureKuwakamata aisaidii weka sheria miaka 30 na viboko juu
kuna mashoga wastaarabuWengine hawajulikani na wana vyeo vikubwa Tu wapo wenye makampuni but ni gays
Inawezekana ni sifa mojawapoAnakurupuka balaa
wewe ulitaka wapate shida ili ufurahi?safi sana, wanataka kuipotosha jamii yetu
mfano eti kaoge anavaa gauni na viatu vya kike anatembea mtaani bila hata shida yoyote
hahaha hivi wanaipotoshaje jamii?safi sana, wanataka kuipotosha jamii yetu
mfano eti kaoge anavaa gauni na viatu vya kike anatembea mtaani bila hata shida yoyote
Mkuu hilo unaliona wewe kuwa gumu,ila kwake yeye kila kitu kinawezekanaSijui atawafunga jela gani maana ya wanaume atakuwa amewapelekea chakra.
Hivi ombaomba unao wasema amewatimua ni wa wapi?kama ni dsm mbona wapo tele?na kwa sasa wapo kibao wanaomba ela ya maandalizi ya idiKwani omba omba aliwatimua kwa kosa lipi
Atawatambua kwa vigezo gani?Mkuu wa mkoa wa dsm kasema kuwa atapambana na mashoga popote walipo ataenda hadi mahotelini.. Source Magazetini:
My take: kuwafuata mashoga mahotelini ni hatari. Ila nampa support yangu. Hii hulka ya ushoga ni mbaya sana
teh teh tehHivi ombaomba unao wasema amewatimua ni wa wapi?kama ni dsm mbona wapo tele?na kwa sasa wapo kibao wanaomba ela ya maandalizi ya idi
aiseee ...Atawatambua kwa vigezo gani?
mkuu, possibly hao mashoga wako nae mpaka ofisini kwake.Wameshindwa sukari wataweza mashoga waache kufanya kazi na media tushachoka sasa,mtu timamu kabisa hawezi kusikiliza upuuzii huu eti uwasake hotelini wakati anakaa nao mtaani.
okkuna mashoga wastaarabu
pia kuna wengine sio mashoga ila wadhalikishaji ndo unakuta kina james delicious hao akina kaoge wanatia kichef chef sana
ila kuna hao wastaarbu unakuta mtu gentlemen smart kabisa humdhanii kumbe shoga. na hao huwezi kuwa na uthibitisho nao