bonnykessy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 204
- 232
..mashoga ni wakala wa shetani duniani,shetani ana mbinu nyingi kumkwepa mtu kama huna upako..namshauri makonda awaombee huyo pepo wa ufiraji awatoke watakuwa watu wa kawaida tu kama sisi.
Kama ofisi ipi?Maofisini wengi sana hawa...kazi itakua kubwa kuwakamata.
Haya ukimpeleka mahakamani akikubia thibitisha . Je?Shoga utalijua tu..haliwez kujificha
In short itabidi atest..aende clouds media. na akitaka kujua inabidi a-test! hahahaha. huu mwendokasi noma. hao watu wanatia kinyaa asee!
Ha ha haa!!!Kurukaruka kwa maharage ndio njia ya kuiva
Aisee inamaana watu bado wanatetea Mashoga?Huyu nae, mbona misifa....jiji lina matatizo chungu nzima
Bado miundo mninu mibovu
Maji maguriko yakitokea matatizo
Wamachinga bado hawana solution
Foleni bado matatizo
Madala dala bado hawatii sheria na trafic wapo kukamata matajiri
Bado kuna ukosefu wa walimu , madawati ....
Haya ya mashoga wako wangapi kwani hapa dar ?
Na sisi tutamwambia athibitishe kia yeye sio shogaHaya ukimpeleka mahakamani akikubia thibitisha . Je?
Mkuu wa mkoa wa dsm kasema kuwa atapambana na mashoga popote walipo ataenda hadi mahotelini.. Source Magazetini:
My take: kuwafuata mashoga mahotelini ni hatari. Ila nampa support yangu. Hii hulka ya ushoga ni mbaya sana
Teh teh..Jambazi acha udhaifuUkichat nae si unaweza kuigia tamaa na kujikuta unaenda kuchapa mzingo
Hata hao polisi wanaweza kuwa pia ni Mashoga!...SHIDA YA NINI ?...AWEKE POLISI WALIOVALIA KIRAIA NDANI YA KUMBI ZA TAARABU..
"ATAWAVUNA MPAKA ACHOKE"