mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 46,337
- 57,160
Mweka hazina upo?makonda anacheza ngoma asoijua
Mweka hazina upo?makonda anacheza ngoma asoijua
aaaaah sasa huku ni kuvunjiana heshima hata kama mna tofauti sio sawa.Mange kasema jamaa hana uwezo wa kumpa msichana mimba
Ulichoandika hapa ni ustaarabu kweli, kuweza/kushindwa ni mambo yasiohusika na ukuu wake wa mkoa. Wewe jadili uhalali wa tamko lake hili juu ya mashoga, basiMange kasema jamaa hana uwezo wa kumpa msichana mimba
well said upo sahihi kwa asilimia miaAnaacha kuhangaika na mafisadi wanaotuumiza anahangaika na watu wenye maisha yao kuwa shoga, mvuta shisha, bhangi hzo ni personal life. Kila mtu atamjibu muumba wake
Mbona hakumkamata Kaoge katika kile kijiwe chao pendwa!Aanze na yule anaye jinadi kwenye mitandao anamtaka Jux kama ni kweli.
Anakula huyooHuyo mzee nae chele au mlaji
DuuhAwakamate halafu awafanyeje. Hi mi punga ikifika segerea na keko atawaweka chumba cha wanawake au cha midume ?? Nahisi segerea kutakua na karamu