shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Sio kudharau ni ukweli kabisaHapana mkuu. Mdharau kwao mtumwa. Chako ni chako hata kama kibaya
Ndege za zamani zilienda wapi?
Sio kudharau ni ukweli kabisaHapana mkuu. Mdharau kwao mtumwa. Chako ni chako hata kama kibaya
Hawana zaidi ya mikutanoHuwa hata sijui kazi yake rasmi sanasana naona wanaanda zaidi mikutano, warsha na makongamano.
Hakuna haki hapa duniani!
Ila akina Bush(Sr & Jr) hawajawahi kufungwa jela japo siku 3 tu pamoja na kuua watu wengi wakati wa utawala wao![]()
ICC ipo kwaajili ya Waafrika tu
......
Kilishakabidhiwa jeshini hicho. Kilishakuwa classified infoNakushauri kaandike thread usifie kivuko cha MV Bagamoyo
Maana inaonekana ni mzalendo
.....



Kawatesa sana.Mzee wa almasi
AsanteKama nilivyoahidi jana kuwa ningeleta segment fupi kwa ajili ya kuangalia upakiaji mizigo kupita kiasi, jana sikufanikiwa ila leo nitaleta na itakuwa ya mtiririko kwa juma zima.
Karibuni.
Wale jamaa ni wabaguzi sana, walikuwa hawataki wadhamini kwa kuwa kuweka nembo za wadhamini ni kukaribisha wageni katika timu yao.Ndiyo, ila zamani walikuwa hawana wadhamini kabisa, sijui walikuwa wanajiendeshaje
Pamoja sana.Asante mkuu
Mpira pesaWale jamaa ni wabaguzi sana, walikuwa hawataki wadhamini kwa kuwa kuweka nembo za wadhamini ni kukaribisha wageni katika timu yao.
Lakini mambo yalivyokuwa magumu wakaamua kuwakaribidha wadhamini.
Siyo Waafrika tu. Kiasili sisi ni wanyama na tuna ile instinct ya ubinafsi na umimi kwanza. Japo kwa juu juu tunaonekana kama tumestaarabika sana huko ndani tu wanyama tu. Ndiyo maana tumejiundia mavyombo mengi ya kiusalama ili kuhakikisha kuwa hatukiuki "ustaarabu" wetu. Imagine kama tusingekuwa na polisi, magereza na majeshi ya ulinzi na taasisi zinginezo za kiulinzi hali ingekuwaje. Tungebakia kuwa wastaarabu?![]()
![]()
Waafrika linapokuja suala la madaraka hatuwezi kuafikiana kwa njia za amani mfano ingeweza kuitishwa kura ya maoni lakini zisingeheshimika wajanja wangeiba kura tu![]()
Hata Sudan sio kwamba wamekubaliana kiroho safi bali waneshinikizwa tu na Jumuiya za Kimataifa
.
Ingekuwepo demokrasia basi hata Wazenji wangeshaachana na Muungano muda mrefu tu
......
Ukifika hapa yaani mpaka mwili unakusisimka. Jamaa wamemwekea kumbukumbu nzuri sana (japo huko aliko hajui kama anakumbukwa kwa namna ya pekee hivi!)
Jiridhishe kwanza mkuu. Usije ukatupiamo na photoshop!Hii picha ilipigwa tarehe 10 January 2005 huko mji wa Dhaka nchini Bangladesh.![]()
Nimeshafanya utafiti na kujiridhisha ndio maana nakushirikisheni.Jiridhishe kwanza mkuu. Usije ukatupiamo na photoshop!
Hakuna ubayaMaandishi katika nguo za mitumba. Kama anayevaa na hata wanaomzunguka hawajui kilichoandikwa kuna tatizo? Hata kama wachache wakijua, kuna ubaya wo wote?![]()
![]()

