Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
si mchezoLARKANA, PAKISTAN
Hii picha ilipigwa January 15, 2015. Gari likiwa limebeba Ngano nyeupe![]()
si mchezoLARKANA, PAKISTAN
Hii picha ilipigwa January 15, 2015. Gari likiwa limebeba Ngano nyeupe![]()
Ahsante mkuu kwa nukuuNUKUU YA LEO
Winning one league title at Roma to me is worth winning 10 at Juventus or Real Madrid.
Kushinda kombe moja la ligi nikiwa na Roma ni faida kubwa kwangu kuliko kushinda makombe 10 ukiwa na Juventus au Madrid
Haya maneno yalipata kusemwa na mwanasoka wa kimataifa ya Italia na klabu ya As Roma Bw. Francesco Totti. Totti alizaliwa sept. 27. 1976 mjini Roma-Itali
Francesco Totti anayevaa jezi namba 10 amedumu As Roma kwa miaka 24 na kuweka rekodi nyingi kuliko mtu yeyote.
Totti amecheza jumla ya mechi 786 na kufunga magoli na kufunga jumla ya magoli 307.
Juzi jumapili Totti alistaafu Rasmi kucheza soka ngazi ya Club wakati alistaafu team ya Taifa 2007 .
Nimefanya kwa ufupi tuu wakuu..ila week hii nitakuwa naleta matukio na nukuu za Francesco Totti.
![]()
![]()
![]()
Waitaliano wanasema
No Totti, No party
HaaaaahaaaaJiridhishe kwanza mkuu. Usije ukatupiamo na photoshop!
capitano della RomaNUKUU YA LEO
Winning one league title at Roma to me is worth winning 10 at Juventus or Real Madrid.
Kushinda kombe moja la ligi nikiwa na Roma ni faida kubwa kwangu kuliko kushinda makombe 10 ukiwa na Juventus au Madrid
Haya maneno yalipata kusemwa na mwanasoka wa kimataifa ya Italia na klabu ya As Roma Bw. Francesco Totti. Totti alizaliwa sept. 27. 1976 mjini Roma-Itali
Francesco Totti anayevaa jezi namba 10 amedumu As Roma kwa miaka 24 na kuweka rekodi nyingi kuliko mtu yeyote.
Totti amecheza jumla ya mechi 786 na kufunga magoli na kufunga jumla ya magoli 307.
Juzi jumapili Totti alistaafu Rasmi kucheza soka ngazi ya Club wakati alistaafu team ya Taifa 2007 .
Nimefanya kwa ufupi tuu wakuu..ila week hii nitakuwa naleta matukio na nukuu za Francesco Totti.
![]()
kuna wale boda boda wa bongo wanaobeba mkaaNOUAKCHOTT, MAURITANIA
Gari likiwa limebeba marobota ya mabua ya mchele, picha hii ilipigwa tarehe 30 January 2008![]()
No Totti No PartyAhsante mkuu kwa nukuu
Nimemuelewa Totti
capitano della Roma
Asante mkuuNUKUU YA LEO
Winning one league title at Roma to me is worth winning 10 at Juventus or Real Madrid.
Kushinda kombe moja la ligi nikiwa na Roma ni faida kubwa kwangu kuliko kushinda makombe 10 ukiwa na Juventus au Madrid
Haya maneno yalipata kusemwa na mwanasoka wa kimataifa ya Italia na klabu ya As Roma Bw. Francesco Totti. Totti alizaliwa sept. 27. 1976 mjini Roma-Itali
Francesco Totti anayevaa jezi namba 10 amedumu As Roma kwa miaka 24 na kuweka rekodi nyingi kuliko mtu yeyote.
Totti amecheza jumla ya mechi 786 na kufunga magoli na kufunga jumla ya magoli 307.
Juzi jumapili Totti alistaafu Rasmi kucheza soka ngazi ya Club wakati alistaafu team ya Taifa 2007 .
Nimefanya kwa ufupi tuu wakuu..ila week hii nitakuwa naleta matukio na nukuu za Francesco Totti.
![]()
![]()
![]()
Waitaliano wanasema
No Totti, No party
AiseeNOUAKCHOTT, MAURITANIA
Gari likiwa limebeba marobota ya mabua ya mchele, picha hii ilipigwa tarehe 30 January 2008![]()
Hatari tupuMANILA, PHILIPPINES
Muendesha Guta akiwa kapakia shehena ya vitunguu hii ilikuwa ni tarehe 23 September 2015![]()
India sawa tu, wapo wengi sana haoALIRAJPUL, INDIA
Hapa ni wanakijiji wakisafiri kuelekea kwenye sherehe za kimila na hii ilipigwa tarehe 2 March 2015![]()
India sawa tu, wapo wengi sana haoALIRAJPUL, INDIA
Hapa ni wanakijiji wakisafiri kuelekea kwenye sherehe za kimila na hii ilipigwa tarehe 2 March 2015![]()
Asante ChaplinDARGAI, PAKISTAN
Watu wakivuta gari lililopinduka juu ya kilima baada ya kupakia Ngano kupita kiasi.![]()
*************************
Kesho pia ni siku tutaendelea kujuzana kwa wiki nzima.
Nakutakieni mchana mwema
Pengine anasubiriwa afanye jambo ili atumbuliwe kama ilivyokuwa kwa mzee wa virobaPengine ni trivial issue lakini hii ya Bashite tuseme ndiyo imepita?![]()
Roma Stand upNo Totti No Party
![]()