Makapuku Forum

1967 - Upande wa Mashariki wa Nigeria wajitangaza kama Jamhuri ya Biafra.

Hiyo ni chanzo kwa kuzuka Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe iliyojulikana kama vita ya Biafra.
Waafrika linapokuja suala la madaraka hatuwezi kuafikiana kwa njia za amani mfano ingeweza kuitishwa kura ya maoni lakini zisingeheshimika wajanja wangeiba kura tu
Hata Sudan sio kwamba wamekubaliana kiroho safi bali waneshinikizwa tu na Jumuiya za Kimataifa
.
Ingekuwepo demokrasia basi hata Wazenji wangeshaachana na Muungano muda mrefu tu
......
 
Kampuni za vifaa vya michezo zinashindana sana kwenye ubunifu wa bidhaa zao
Hakuna kitu kipya
Wanaboresha mambo ya zamani tu
Hata Adidas tangu waingie Man Utd hawajabuni kipya zaidi ya kuboresha zile zile za zamani walizowahi kutengeneza kabla ya kuja kwa Umbro na Nike
Yaani wanarudia tu jezi zao za zamani
......
 
2012 - Rais wa zamani wa Liberia, Charles Taylor anahukumiwa kifungo cha miaka 50 kwa makosa yake aliyofanya wakati wa Vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sierra Leone.
Ila akina Bush(Sr & Jr) hawajawahi kufungwa jela japo siku 3 tu pamoja na kuua watu wengi wakati wa utawala wao
ICC ipo kwaajili ya Waafrika tu
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…