Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani nimejisikia vibaya sana sikujua,nina wagonjwa mmoja alikua serious,hata sikuwa nafuatilia hapa,pia ndiyo hivyo mambo ya fake id hata sijui kwakwenda kumuona sipo nnyi kimwili nipo nanyi kiroho nawaombea faraja.nampenda sana mwanangu sema mambo yalinizidi poleni sana
Utakuwa hujapata rafiki wa kuaminiana nae
Humu tupo tunaoaminiana na urafiki wetu upo hadi nje ya JF tukiwasiliana na hata kuonana
Ni kwa wale tu wanaoheshimu privacy za watu ....
Tukikutana humu JF wala hatuwi na mbwembwe za kuonesha kwamba tunafahamiana wala nini (tunakausha tu)

Kuna wengine ukiwapa tu # ya simu au kukutana nao ni kosa
Kila mkikutana thread yoyote hadi watu watajua mna ukaribu na atakuja kusema hadi kibanda cha mkaa unachojifichia na ishu zako kibao hadi utatamani uwe unamkwepa humu Jf

.......
 
Wakuu..

Naleta ombi kwenu..

Nilikuwa nataka nimpe mtu jukumu la NUKUU YA LEO.

Nilichukua hii segment from April, lakini nahisi nashindwa kuifanyia kazi ..nashindwa kudeliver hiki kitu kwa members hapa kutokana na Ratiba zangu kubadilika kidogo na ndio sababu haka kuingia humu nasua sua kidogo..

Ile segment ni nzuri sana, sikupenda tuikose kwa kweli..

So natoa nafasi kwa member ambaye anaweza kunisaidia aendelee nayo...siku akiwa yuko tight maybe i can take over for sometimes again..

Ni wazo tuu lakini .
Ni wazo poa sana ila mimi nitakuwa last option
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha.... ....unanitia mashaka.... Hasa pale ulipomngangania nyoka mzee Akubali kujazwa ili nae ajazwe..... Nilihama tigo zamani sana ha ha ha ha ha ha ha.
Baada ya kujazwa ulionaa mambo huyaweziii hao ndo wana tigo hawana dogo dadeeekiii...

Ila tuma kwqnza rambirambiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom