mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Lazima nimshtue mshikaji wangu aje alinde sungusunguHuu uchochezi kutaka kumtia pressure Shululu wngu
Lazima nimshtue mshikaji wangu aje alinde sungusunguHuu uchochezi kutaka kumtia pressure Shululu wngu
Mkushi wa kusi kwema huko?Njema niajde Nyagei
Njoo kwangu achana na hao warugaruga
Nashukuru Mungu naendelea vyema kabisaSalama kaka ...
Mzima wewe?
Poa...... vp wewe?Niaje wakuu
Poa..Poa...... vp wewe?
Utakuwa hujapata rafiki wa kuaminiana naeYaani nimejisikia vibaya sana sikujua,nina wagonjwa mmoja alikua serious,hata sikuwa nafuatilia hapa,pia ndiyo hivyo mambo ya fake id hata sijui kwakwenda kumuona sipo nnyi kimwili nipo nanyi kiroho nawaombea faraja.nampenda sana mwanangu sema mambo yalinizidi poleni sana
Ni wazo poa sana ila mimi nitakuwa last optionWakuu..
Naleta ombi kwenu..
Nilikuwa nataka nimpe mtu jukumu la NUKUU YA LEO.
Nilichukua hii segment from April, lakini nahisi nashindwa kuifanyia kazi ..nashindwa kudeliver hiki kitu kwa members hapa kutokana na Ratiba zangu kubadilika kidogo na ndio sababu haka kuingia humu nasua sua kidogo..
Ile segment ni nzuri sana, sikupenda tuikose kwa kweli..
So natoa nafasi kwa member ambaye anaweza kunisaidia aendelee nayo...siku akiwa yuko tight maybe i can take over for sometimes again..
Ni wazo tuu lakini .
Ni kwema kabisaKwemaaa mkuu
Zinafikaaa swalaaamaaa yaaaeee rafikiii kipeeenziiZikija zitafika? Ha ha ha ha ha
Akijaaa ananyweaaa kama sio yeyeSakayoooooooo...... Kuja hapa.... Jogoo lako linafukuza mitetea ya watu.
Mzeee wa totozNiaje wakuu
Kama husna alikushindaa utawezaa tumosa ??Njoo kwangu achana na hao warugaruga
Poa,karibuNiaje wakuu
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha.... ....unanitia mashaka.... Hasa pale ulipomngangania nyoka mzee Akubali kujazwa ili nae ajazwe..... Nilihama tigo zamani sana ha ha ha ha ha ha ha.Zinafikaaa swalaaamaaa yaaaeee rafikiii kipeeenzii
Ibaki vile vile tuHahaaa! Mnachanganya hapi sasa..
Ama tufanye kubadilishana..
Nimechukue Tumosa ili we T wa T
Na Shululu amchukue Sakayo ili iwe S wa S
Yaaani
T wa T na T wa T
S wa S na S wa S![]()
Au unaonaje T
Baada ya kujazwa ulionaa mambo huyaweziiiHa ha ha ha ha ha ha ha ha.... ....unanitia mashaka.... Hasa pale ulipomngangania nyoka mzee Akubali kujazwa ili nae ajazwe..... Nilihama tigo zamani sana ha ha ha ha ha ha ha.
hao ndo wana tigo hawana dogo dadeeekiii...