Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
FACTYanga timu ya serikali wewe
Mkia 0:2 Yanga(Yanga anabebwa)
Mkia 0:1 Kosto(mwamuzi katuua)
Yanga 2:1 Ndanda(Yanga anabebwa)
Yanga 1 :1Al alhy(mtafungwa nyingi Misri goli lenyewe OG)
Al alhy 2:1 Yanga(mmebahatisha kufungwa chache)
Mkia 0:1 Toto (tumeonewa red card)
Kosto 1 :2Yanga (mmebebw)
Leteni picha muobenye bao LA Ngoma km offside na Tambwe kashika mpira.
Simba hamna timu kazi majungu tu
..............
S