Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Mkuu nipe dili Mimi najua sheria za ardhi(Land law) na nyingine kibaowakuu mambo vipi...?mimi ni kijana najishughuliasha na mambo ya real estates tuna kampuni ya upimajibwa viwanja...tuna miradi mingi sana uko kigamboni na sehemu nyingine nyingi..lengo langu hapa nnatafuta mtu makini san anaeweza kufanya mambo ya marketing hata kama ajasomea koz siamini sana katika shule naamini katika kupata matokeo,nataka tufungue kampuni ya mauzo ya viwanja,viwanja vipo vingi sana nahitaji mtu awe result oriented na awe anajituma sana kutafuta masoko na awe amtu wa kufanya networking..kitakachopaikana ni chetu wote kutegemea na tutakavyo kubaliana..siangalii jinsia wala elimu nataka mtu hardworker..ni pm kana uko tayari.
Km upo serious niPM nikuletee na wataalamu wengine
.................