Makapuku Forum

Makapuku Forum

Usiku mwema watu wa Mungu
83e5e9610007310386d49629aba8b278.jpeg
 
Wakuu, Shedede leo kapotelea wapi? Au kabanwa na mkewe hakuna kutoka leo? Couplez hizi ni pasua kichwa hapa Makapuku.

Anyway, nilikuwa nataka kutoa taarifa kuwa ile hadithi yake nimei-edit vizuri na iko tayari. Akirudi nadhani atairusha. Ni hadithi decent na Shedede ni mwandishi mzuri wa kiwango chake na akikazana na kufuata mawaidha na ushauri wangu wa kitaalamu atafika mbali.

Jana niliona watu wakinilaumu kuwa nawabania hadithi. Basi kazi yangu kama editor nimeshaimaliza na kuanzia sasa lawama zote zielekezwe kwa mwandishi (Shedede) mwenyewe!
Shukran mkuu twaisubiria kwa hamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom