Makapuku Forum

Mpuuzi anayehangaika kila siku kuingia humu na kutokana na na kuongea upuuzi upuuzi na kujifanya yeye ndo mtu wa maana mkiwa mnamuignore kwa kutomjibu ndo roho itamuuma

Ni sawa na mtu kwenda sehemu kila siku watu walipokusanyika na kupiga mayowe kama mbuzi halafu hajibiwi lazima ataumia moyoni
Nawaomba tujifunze kunyamazia watu wapuuzi wapuuzi
Sisi km watu wazima tulioelimika na tuna maisha yetu hakuna haja ya majibizano wala kujionyesha
.
Pls ignore them
Ili wao ndo waonekane wajingawajinga
................
 
Fact
 

Huku kwetu wanapotea watu wazima km Ben Saanane
.
.
.
.shukrani mkuu kwa historia
Nikutakie siku njema
........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…