Makapuku Forum

Makapuku Forum

cec52d129d75dc5edd4f41ca57b9b4d5.jpg
a73f28dc57049e47f748c36e36132056.jpg
Kisha kikatengenezwa kituo maalumu kilichoitwa NASA's Kennedy Space Center
0c9771ae64163160dd98cd4c8d8a4fbb.jpg
ambapo mnamo July 16 1969 safari ya kwanza kwenda mwezini ikazinduliwa ambapo Neil A. Armstrong,Michael Collins na Edwin Aldrin walipaa na chombo hicho kisha wakawa binadamu wa kwanza kufika mwezini
........
Somo zuri. Hakika jamaa walijipanga.
 
7fa79ece8877033b9f8e0e89238f2670.jpg
dd1f28313e407b9d7d041c3cfbcfe8ed.jpg
Nkrumah na Nyerere walishiriki vilivyo uanzishwaji huo pamoja na Marais wengine wa nchi kadhaa km vile Libya,Senegal,Ethiopia,Togo n.k
Nyerere alienda kama rais wa Tanganyika ....Nchi zilizopata uhuru pekee ndo zulikuwa wanachama
.......
Namuona Mobutu Sesseseko kibaraka wa Mataifa makubwa nae alikuwepo.
 
1953 - Daniel Passarella anazaliwa.

Alikuwa ni beki kisiki wa kati wa timu ya taifa ya Argentina.

Mmoja kati ya mabeki bora kuwahi kutokea.

Alifunga magoli 134 na kuwa beki wa pili katika orodha ya mabeki waliofunga magoli mengi zaidi nyuma ya Ronald Koeman ambaye kwasasa ni kocha wa Everton.

Ni mchezaji pekee wa Argentina kutwaa Kombe la Dunia mara mbili mwaka 1978 wakiwa nyumbani na 1986 pale Mexico.
HBD Daniel
 
2005 - Liverpool yashinda taji la Ubingwa wa ligi ya mabingwa Ulaya.

Ni baada ya kupigwa 3-0 wakati wa kipindi cha kwanza, kabla ya kurudi kipindi cha pili na kusawazisha goli zote.

Wakaenda kushinda kwa mikwaju ya penati chini ya uongozi wa Nahodha Steven Gerrard na kocha Rafa Benitez.

Ni moja kati ya fainali za kukumbukwa.
46efbeaa852686a0845258bcc30b6ab5.jpg
49abdb30ec525bea5e8f303b57b1b89b.jpg
1dc66ddcddb94ad159c47eed004750f7.jpg
b173ed40b537c47a282c146a0d8264b1.jpg
Ni moja kati ya fainali za kihistoria
Mashabiki mbuzi wa Liverpool waliamua kuzima TV na kwenda kulala wakati wa half time
.......
 
1953 - Daniel Passarella anazaliwa.

Alikuwa ni beki kisiki wa kati wa timu ya taifa ya Argentina.

Mmoja kati ya mabeki bora kuwahi kutokea.

Alifunga magoli 134 na kuwa beki wa pili katika orodha ya mabeki waliofunga magoli mengi zaidi nyuma ya Ronald Koeman ambaye kwasasa ni kocha wa Everton.

Ni mchezaji pekee wa Argentina kutwaa Kombe la Dunia mara mbili mwaka 1978 wakiwa nyumbani na 1986 pale Mexico.
a94bdbf675d63af1eb9024b8940a0935.jpg
147c3ae454c5c1d91d11c164703c6e0c.jpg
22c43f75c91fe35f219d39f09d0f69eb.jpg
Zama hizi tuna Sergio Ramos jamaa ni bonge la beki mfungaji
John Terry zama zake zishaisha
Garry Cahill anajitahidi
......
 
Muda gani watu mnafanya kazi nawauliza ,mbona muda wote mko humu ? Tufanye kazi tufanye kazi narudia tufanyekazi tena na tena tufanye kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom