Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,419
"...shedede alikua na gundu kila akitongozwa anaangukia pua..."ahaha cuzoo shedede alikua na gundu kila akitongozwa anaangukia pua
na husna si unajua yalimkuta kwa bamdogo na uzi akamwandikia bamdogo akakamatika kwa jimama lake akaachwa
nikamwambia husna eb onana na shemeji yangu mfarijiane basi ndio wakapendana kimoja cuzoo mm kosa langu nini
shedede kaptikana kushushua tena kiruuuuNdio maana nikawashushua
Mhaya - producer
Msukuma - editor
Ikiwa ni upupu nita-edit na kubadilisha kila kitu na hata kuondoa jina lako kabisa. Huwa sipendagi mchezo mimi!
typing error bana"...shedede alikua na gundu kila akitongozwa anaangukia pua..."
Shedede duh! Anatongozwa halafu tena anapigwa chini?
Aisee. Sikuelewa. With Shedede everything is possibletyping error bana
Sijui najichekea tuKinachokufurahisha ni nini eti
Msonyo huoookwahiyo umeamua kumkiss kabisa
Power of loveBH hata akiwa anaongea kiesperanto, me nitajifunza. Anijaribu aone
PoleeeSi bora hata ningeishia kugonga likes tu, hata mkate na divai nilinyimwa kanisani
KeshapoaHatujambo,pole na msjukumu
Ya nn?hongereni sana
Asante mkuu1/Ashley & Mary--Kate Olsen
Hawa umaarufu wao inatokana na pesa walizonazo.....hawajafikisha hata miaka 30 lakini wana mkwanja mrefu wa kuweza kuwahonga hadi Sizonje na Bashite
Wanatajwa kuwa wanawaje matajiri # 11 duniani
.
.
.
.
.
Ahsanteni kwa mliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
.............
My daughter..sitaacha kukupenda unanifanya nichekeeeeee muda wotemama mchuchu shikamoo
Kwahiyo mnachangia mume?!ndio ujue sasa kuwa ni mke mwenzangu
Unaanza ugomvi lioneeeeAaa wapi! Mbwembwe tu. Uilete kwanza nii-edit usije ukaishia kutuandikia Kihaya hapa halafu ukirekebishwa unakuwa mbogo♂️♂️♂️
Afu shunie kuna story inaitwa Mke Wa rais km una link yake niwekeeMh unataka kutukamata wapenda story mke mwee unamuona huyu