ahhhha shemela wangu nasikia limoyo lake limedondokea kwako hali halali kwa ajili yako toka ile siku tuliyokutana nae cuzooSijasahau cuzooo lakini hili hujaniambia kabisaaa![]()
mpaka napata wasiwasi
ahaha inataka moyo sana ukipenda boga upende na ua lake ajue tu lugha ya mama mchuchu hakuna namna la sivyo binamu obe atajifunza

Hujaachagaa?cuzoo shemela wangu nyagei nasikia anakupenda etiebu mfikilie kwa niaba ya cuzoo wako
cuzoo ujue mie sijui kitu ndio leo nimekutana nayo unakumbuka nyagei tulipokutana nae labda limoyo lake limekudondokea cuzoo
hebu akuje kwanza huyo Nyagei. ...sitaki kudondokewa bhana cuzoo wewe si unajua
ninavyoogopa kitimotoSikutengi ila nitakuweka kitimotoo![]()

Kumbe Unakumbuka eeh?![]()
![]()
![]()
![]()
Shunie asante sana ndugu yangu kwa kunipa shedede
Jamaa anajua kupendaa sana yaani
Niitie huyo Nyagei kwanzaaninavyoogopa kitimoto![]()
Tumaso na shululu umehusika
Shedede na Husna umehusika
Nyagei na Cuzoo wako unang'ata huku unapuliza
kwanini usiwe mratibu eti??
khaaa basi tena nimekoma mimi kila mtu ahangaike mwenyeweHa ha ha ha ha ha ha ha ha.... Hii kaliAmesahau kuna maboga ya kichinaa hayana maua
kumbe hata hapo alikuwa daraja??? yereeuwiiiiNamjuaaa tuu hashindwiii akiamuaa ..
Umesahau Blessed na liimukongoo
Looooooh
Aiseee safi sana pendaneni tu hakuna namna ingine muwowane basi msiishie hivyohivyo![]()
![]()
![]()
![]()
Shunie asante sana ndugu yangu kwa kunipa shedede
Jamaa anajua kupendaa sana yaani

Kumbe ndo ulichofanya kwa shedede siku zileeeahhhha shemela wangu nasikia limoyo lake limedondokea kwako hali halali kwa ajili yako toka ile siku tuliyokutana nae cuzoo

vijino pembe sijui ndio sie tena![]()
uwiiii acha kutuharibia mama yetu
unajistukia et