BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Hakika hata Tanzania ndio tunakoelekea,ada ya chekechea ni kubwa kuliko ya chuo kikuu,maziwa,mavazi,chakula,Mungu atusaidie tuwalee kimwili na kiroho .
Hakika hata Tanzania ndio tunakoelekea,ada ya chekechea ni kubwa kuliko ya chuo kikuu,maziwa,mavazi,chakula,Mungu atusaidie tuwalee kimwili na kiroho .
Alienda wapi?
Nimefuatilia sana hili jambo ,bado najifunza
18 months ni mwaka mmoja na nusu ,aliishije?
Wachina wamenishinda tabia,hata wao ni fake
Na kwako piaTuwe na siku njema wakuu...![]()
Nimeamka salama Blessed. Uwe na siku njemaBWANA asifiwe sana ,umeamshwaje?ubarikiwe uwe na siku njema,yenye furaha na mafanikio![]()
![]()
Nipo mama mchuchu ..mbona mtanichokaa nisharudiiiiAmen,upo Lee ?karibu sana we miss you Ubarikiwe siku njema![]()