Ni raia wa Ireland au Wales
Mungu alimjalia kipaji kikubwa cha kusakata soka lakini nje ya uwanja hakuwa na nidhamu
Alikuwa ni mpenda wanawake kiasi cha kutembea badi na Miss World yaani Dwight Yorke hamfiki hata nusu(watoto walimfuata wenyewe)
Pia alikuwa chapombe aliyetukuka matokeo yake akaishi kwenye umaskini uliotopea(huko Ulaya kila mtu kubeba msalaba wake hakuna mbeleko km za kina Chid Benz km hutaki kusaidiwa wana kuacha ufe na ujinga wako)
Pombe ndiyo iliyomuua
R.I.P George Dickie Best
.............