Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Nimepanda cheo,Sasa hv je
Nimepanda cheo,Sasa hv je
Amechukua nafasi ya shedede?Huyu ni mlinzi sio mvuvi
Cheo kipi hicho kaka..Nimepanda cheo,
Poa sana, hakuna magazeti ya mchana?Tetramelyz niaje
Nina cheo kipya..Kwa sasa?
Wewe ni shehe Yahya?Upo ankali..jj, nilijua tu nawewe lazima utarudi, krb sana
Kweli si kweliAisee
Poa poa kabisa kamanda, mambo yanaendajeVp kaka..
Hahaha, we hujui kama sindano ni fupi kuweza fikia majipu ya wajeda??Hongera zake kwa kuto kutumbuliwa na mamba
Hakuna aiseePoa sana, hakuna magazeti ya mchana?
Good kakaPoa poa kabisa kamanda, mambo yanaendaje
Sawa kinitwaje hicho cheoNina cheo kipya..
Yeap haonekanagi mchana huyu except Leo tuuAmechukua nafasi ya shedede?
Nilikua siingii jf mchana saivi naingiaCheo kipi hicho kaka..
Sawa mkuu tumwombee wampandishe cheoHahaha, we hujui kama sindano ni fupi kuweza fikia majipu ya wajeda??
Em Cheki hii
![]()
Nakuonea wivu máana mchana ndio nakua namuvika..Nilikua siingii jf mchana saivi naingia
Hahaha, jf addiction is ni kama njaa, unaweza jikaza lakini utaamua kula tu. wewe mwenyewe shahidiWewe ni shehe Yahya?
Sawa kiongoziHakuna aisee
Makapuku ForumSawa kinitwaje hicho cheo
Hahaha, haribu tv,Nakuonea wivu máana mchana ndio nakua namuvika..
Mpaka J tano ndio nakua nipo off