Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Salama,kwema utokakoHabari za wakati huu
mke mwee mimi sina tatizo shida ipo kwa lee kuna uzi niliweka ndio hapo ulipoanzia na nimeomba sana msamaha kuwa nimekosea kuweka ule uzi mara sijui kuna kaka alinianzishia thread pia eb niambie nafanya nini kama mtu hataki kukusamehe ameshaamua sijui kukuacha mara mke wa pili sijuiHakika mama mchungaji Mungu awasaidie wamalize matatizo ktk ndoa yao
Babe'sMdogo wangu mie apaaaa
Poa tu .we ni me au ke?Salama,kwema utokako
mmh kweli??Unajibu Ameeeen!
Ngoja nikamtafuteMuite dada hebu ..
hivi ujue mama mchuchu anatembea na roho ya binamu obe

Dada ukujeBabe's
Ukuje mama...!
Nimekumiss balaaaaa! Come this way please..or i will die now
Njooooo! Njooo mama wa watoto wangu..
![]()
asante nawe pia, uzima upo lakiniMarahaba mzima Arch Ubarikiwe sana jumapili njema
anapatikana lkn leo hajaonekanaHivi bitozi anapatikana humu ndani
aisee poa, habari ni vije???Architect ni ajeee?
![]()
![]()
lazima umwite kwa nguvu zote huyo ndio kiboko yako
jipe moyo UTASHINDWA

Tulia mke mwee hasira zikimuisha naamin mtayamalizamke mwee mimi sina tatizo shida ipo kwa lee kuna uzi niliweka ndio hapo ulipoanzia na nimeomba sana msamaha kuwa nimekosea kuweka ule uzi mara sijui kuna kaka alinianzishia thread pia eb niambie nafanya nini kama mtu hataki kukusamehe ameshaamua sijui kukuacha mara mke wa pili sijui
Mie Mrs.ShululuPoa tu .we ni me au ke?
Ndio nyie huwa mnajibujemmh kweli??
Usikubali Shunie.... Transcend anataka kukufanyia ufisadi tu.subiri Lee atacool down.kwako nije kufanya nini sasa