Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hakika mama mchungaji Mungu awasaidie wamalize matatizo ktk ndoa yao
mke mwee mimi sina tatizo shida ipo kwa lee kuna uzi niliweka ndio hapo ulipoanzia na nimeomba sana msamaha kuwa nimekosea kuweka ule uzi mara sijui kuna kaka alinianzishia thread pia eb niambie nafanya nini kama mtu hataki kukusamehe ameshaamua sijui kukuacha mara mke wa pili sijui
 
Mdogo wangu mie apaaaa
Babe's

Ukuje mama...!

Nimekumiss balaaaaa! Come this way please..or i will die now

Njooooo! Njooo mama wa watoto wangu..

22ccad21d10e4e6c0426a62e80a056b8.jpg
 
mke mwee mimi sina tatizo shida ipo kwa lee kuna uzi niliweka ndio hapo ulipoanzia na nimeomba sana msamaha kuwa nimekosea kuweka ule uzi mara sijui kuna kaka alinianzishia thread pia eb niambie nafanya nini kama mtu hataki kukusamehe ameshaamua sijui kukuacha mara mke wa pili sijui
Tulia mke mwee hasira zikimuisha naamin mtayamaliza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom