Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,902
amenNi kweli mkuu,na bado naendelea kuwaombea wotee muwe na amani na upendo kwa wote..MUNGU ANATOA AMANI KULIKO AWAYE YOTE
[emoji524] YOHANA MTAKATIFU 14
27.Amani nawaachieni ;amani yangu nawapa,niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo .msifadhaike mioyoni mwenu wala msiwe na woga
ASEMA BWANA WA MAJESHI[emoji120]
shkamooo!