Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Picha Tafadhali shemelaNzuri, Asante kwa chakula laazizi wangu
Picha Tafadhali shemelaNzuri, Asante kwa chakula laazizi wangu
hhaaahhhUnamchanganya binamu
HahahaChaplin kwenye ubora wake

Ha hahaha sikufwi aisee maana niko nao karibu hawa wanaweza kula rambirambi

Atapaa kama westlifeAisee, akilipuka hapo dah
Binamu kila kitu we ni kukumbushwa jaman
hahahh mm sijui unakunywaje balimi kama we kijana![]()
![]()
![]()
, yeye ni mstaafu
NiambieNdugu
Amani mkuuAsante mdau na mtaasisi nguli. 😀
Siliwezi hilo jina nimeshazoea binamuMuite Jorowe
Thubutu kukutwahapana aisee siwezi
Mbona kumpenda BH huwa sikumbushwi?
mama mchuchu ebu mfikilie binamu yangu muweke ata stooAiseehahahh mm sijui unakunywaje balimi kama we kijana
Nzuri, karibuHabari zenu humu ndani
hahaahh wanywaji balimi wanisamehe tu kama wapo humuAisee
Kawa mkaa![]()
![]()
mama mchuchu ebu mfikilie binamu yangu muweke ata stoo

AsanteNzuri, karibu
Ahsante shem waneSalama pole na majukumu