Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Hata mimi nashangaaNaona vikumbo tu
Hata mimi nashangaaNaona vikumbo tu
Tupo tunapanga kumtungua mapankiMakomandoo wenzangu makapuku kama kawaidaz kama North Korea mpooooo?
VinaelewekaNimekuja mkuu, vijiwe vyangu si wavijua!!!
Sema na Aganza basi mbona ananiamkia tena!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sijaelewa![]()
Shikamoo Makapuku
Nategemea hapo ulipo haujambo
Huku nyumbani bibi khajambo lakini aliniambia nikujulishe kuhusu ile kitu yake ya siku zote kama imepanda bei
Zamani aliipate kwa anko deby kwa tsh 100 lakini tokea waseme no viroba imepanda kweli
Nimejitahidi kuzunguka mitaa ya kina shemera nako tabu nimekosa
Nimejaribu kumpigia anty Shinune kasema eti nae kaokoka hakika kama jinsi ujuavyo bila kupatikaña hiyo kitu sidhani kama bibi kesho ataamka
Bibi kasema ni kueleze wewe anko Kapuku kwa kuwa anakuaminia hasa zile styre zako zakuchomekea suruali yenye viraka huku ukitembea kwa madaha mfano wa ile band ya Tarumbeta anaamini kama utakasa hakika huwezi kikosa kabisa....
Basi kama utapata usije kuleta hadharani nakuomba ufunge vilivyo ili watoto wasije kungamua kilicho chonde chonde usiache sory....
Wako Akupendae
Anko Zoba...
AmenZABURI 3
5.Najilaza nikalala usingizi,nikaamka kwa kuwa BWANA ANANITEGEMEZA
Tukijua MUNGU yu pamoja nasi twaweza pumzika hata wakati wa dhiki
TUOMBE
Asante BABA kwakuwa unaendelea kututetea na kutupa ushindi,tunaomba toba kwa yote tunayokukosea.
Tunajikabidhi Baba usiku waleo utulinde tunafahamu husinzii wala hulali upo macho kutuangalia tusipatwe na mabaya.
Nawakabidhi wagonjwa wafiwa yatima na wenye shida mbalimbali.utulinde malaika walinzi watuzunguke
Asante Baba kwa kuwa utatenda sawasawa na mapenzi yako.
Katika jina la Yesu Kristo Amen
USIKU MWEMA![]()
![]()

Imeshakata![]()
![]()
![]()
acha nilale na hii mvua ya ghafla
Mbona hujamuaga aganza?Mlale salama matajiri
Salama mkuuHeshima kwako Nyagei
Njia panda ya kwakoWapi huko?
Mh! Nyagei sijaelewaNjia panda ya kwako
Shalom maranatha kaka![]()
![]()
![]()
Ndio kusalimiana huko
Shalom QUIGLEY
Ndizi vipi hukoHahah Niko kishimundu huku mkuu...![]()
![]()
Nipo braza, habari ya siku!Aaaah poti upooo
Nafurahi kukuona, Mwanza mvua ipo!!Nipo braza, habari ya siku!
Asante kwa maombi.ZABURI 3
5.Najilaza nikalala usingizi,nikaamka kwa kuwa BWANA ANANITEGEMEZA
Tukijua MUNGU yu pamoja nasi twaweza pumzika hata wakati wa dhiki
TUOMBE
Asante BABA kwakuwa unaendelea kututetea na kutupa ushindi,tunaomba toba kwa yote tunayokukosea.
Tunajikabidhi Baba usiku waleo utulinde tunafahamu husinzii wala hulali upo macho kutuangalia tusipatwe na mabaya.
Nawakabidhi wagonjwa wafiwa yatima na wenye shida mbalimbali.utulinde malaika walinzi watuzunguke
Asante Baba kwa kuwa utatenda sawasawa na mapenzi yako.
Katika jina la Yesu Kristo Amen
USIKU MWEMA![]()
![]()