herikipaji
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 1,199
- 1,376
Makomandoo wenzangu makapuku kama kawaidaz kama North Korea mpooooo?
Nimekuja mkuu, vijiwe vyangu si wavijua!!!
amtake sasaYupo aganza
Umepata kaka mwingine eti!![]()
natamani kuwajua tu
HhahhahhhaUnga adimu, ukinywa chibuku ni sawasawa na kula ugari
Kwa nini kaka jamanUmepata kaka mwingine eti!
Jmn avatar ni ya mjomba usiniamkie mrembo!Shikamoo
Mh siuongee nae mwenyewe watu hawataki maneno wanataka vitendo kaka ongea naeSema na Anza basi mbona ananiamkia tena!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
SalamaJmn avatar ni ya mjomba usiniamkie mrembo!
Mambo!
Jmn avatar ni ya mjomba usiniamkie mrembo!
Mambo!
na wakati bado kijana mdogo damu inachemka
Hivi weww baby wa nani?Habari zenu humu ndani
Habari yako angaza...Salama
HahaaaShemela shululu na nyagei mnahitajika hapa![]()
Salama vipiHabari yako angaza...
Broo kazi kwakoDada shunie![]()
kitu vipi eti!
Safi kabisa... Naona unakesha za weekend... Huko ulipoSalama vipi