Makapuku Forum


Bashite atamahauri hivyo Sizonje pindi watu wakiandamana
........
 
1924 - Zelmar Michelini anazaliwa.

1976 - Zelmar Michelini anafariki Dunia.

Alikuwa ni mwandishi wa habari kutoka nchini Uruguay.

Aliuwawa kutokana na misimamo yake katika kazi yake.

Ni mmoja kati ya watu maarufu wachache kuzaliwa na kufariki tarehe na mwezi unaofanana.
 
HBD Roger Milla, pia wachezeji walioongezwa kwenye hatua za mwisho na timu zao ndio walionesha uwezo mkubwa
 
Sio tu ustaa bali pia aliweka rekodi mchezaji mzee kufunga goli World Cup akiwa na umri wa miaka 38
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…