Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Mkuu mi nimeona hii kwa tamosa ndo nikagundua kuwa anaumwaNamsoma Mndali ndanyelakakomu anasema ulikuwa unaumwa, jameni!!1 Kwanini mimi nakuwa wa mwisho kupata habari humu ndani lakini?
maybehahahhh atakua amempata aliyekua anamtafuta
usikute mjumba mkubwa kama huu wanaishi watu watatu tu ndani!
Mungu ni mwemaAmeen kaka
hahah! mkuu Obe unanifurahisha....na unazipenda sana mdau eeh?
Pole sana, nafurahi umerudi Jukwaani, kula vizuri, fuata masharti ya daktari utakuwa poa zaidi na zaidi😉.
Mama Mchuchu hata simuelewi, kumbe mkongo ni mswalihina, kamsilimisha sasa hivi wanagonga lakaa tu
Niaje ObeHa hahhahhaha, umenichekesha sana namna maandishi yako yalivyosound, ni kama unatamani hata angekupangisha muwe wanne humo ndani😀😀😀😀😀😀😀
hamna sijampa mtu yeyote taarifa sakayo tu alinipigia bada ya kuona hanioni humu akakuta naumwa
TwampompoMungu ni mwema
Toa hii avatar basiBinamu yangu shikamoo
Hata mi hili jipya kwangu kusema Dada kabadili dinimbavu zangu mama mchuchu kasilimishwa kutokuepo nakosa mengi binamu jana nilikuta mjomba ako emenikana anataka kitu kipya
Shemelambavu zangu mama mchuchu kasilimishwa kutokuepo nakosa mengi binamu jana nilikuta mjomba ako emenikana anataka kitu kipya
Sio kwa kupotea hukombavu zangu mama mchuchu kasilimishwa kutokuepo nakosa mengi binamu jana nilikuta mjomba ako emenikana anataka kitu kipya
Pole shemelahamna sijampa mtu yeyote taarifa sakayo tu alinipigia bada ya kuona hanioni humu akakuta naumwa
you too snipesmaybe
good night..!
Pili hukuwasiliana nayeNamsoma Mndali ndanyelakakomu anasema ulikuwa unaumwa, jameni!!1 Kwanini mimi nakuwa wa mwisho kupata habari humu ndani lakini?
mbavu zangu mama mchuchu kasilimishwa kutokuepo nakosa mengi binamu jana nilikuta mjomba ako emenikana anataka kitu kipya
shemela wa shunieNiaje Obe
Nawapenda sana sana binamu Mungu azidi kuwawekaYote kwa yote, ni furaha kukuona humu tena. Tunakupenda, ninakupenda, wewe ni sehemu ya kapuku family. Upendo na kupendana mwanzo mwenga