Makapuku Forum

4/Curtis James Jackson III Nani asiyemfahamu huyu Mswahili?
Anajiita 50 Cent ana umri wa miaka 38
Utotoni alikulia katika umaskini uliotopea ikiwemo kulelewa na bibi yake.
Anewahi kutandikwa risasi lakini akapona.
Ana dili kibao za kuvutia mpunga
Ana utajiri wa USD 240 Milioni
.......
 
Bandiko zuri changamshi as usual. Wengi hudhani kwamba Mamou pengine ndiyo wimbo wake bora kabisa kisanaa. Vocals zake na Madilu wakijibizana zinaweza kukutia simanzi na kukusisimua hata kama hujui kinachoimbwa. Mwanafunzi mmoja wa Musicology alikuwa anadai hivyo katika tasnifu yake ya Masters katika Chuo Kikuu kimoja huko Ujerumani. Nilishindwa kufuatilia hoja zake za kitaalamu kwa sababu sijui cho chote kuhusu taaluma ya muziki.
 
Mjengo ulikuwa wa Tyson huo na alipofulia ndiyo huyu dogo akaununua. Shida ya hawa ni kwamba wengi wao wana matumizi mabovu na wana madeni ya kutisha. Kuna siri nyingi katika utajiri wao huu ndiyo maana wengi wana matatizo ya kodi kwa sababu huwa wanaogopa ku-file tax returns wakiogopa utajiri wao halisi kujulikana. Sababu hii hii ndiyo inamfanya Trump agome kabisa kutoa makaratasi yake ya kodi. Ni tajiri lakini wengi wanaamini kuwa siyo tajiri kama anavyojigamba. All in all they did good!
 
Sinaga tabia ya kurundika vitu
Kila mwaka naelekea kijijini kwetu huko lazima niwaachie nguo,viatu n.k
Samtaimu naweza nikaendana sendo pea moja na vaitu pea moja tu hapo lazima niwaachie ama sendo au vitu
Kijijini kuna dhiki balaa wapo ambao kuvaa chupi tu ni anasa
Umeandika naneno mazito sana
....
 

Sure, tunawaita waimbaji huru hawa, haina kutengeneza sauti, ni sauti yake halisi aliyoitunza vizuri. Franco, yapo maandishi yanasema japo alitoka katika maisha ya kawaida , baadaye muziki wake aliuchepusha na kufuata mambo ya matajiri, akiimba kuhusu 'cheating' (kuchepuka, right?) na mambo ya anasa anasa tu.
Yote kwa yote, jamaa alikuwa mkali na alijua kulipiga gitaa
 
Asante Madenge. Ni rahisi sana kujisahau. Ndiyo maana wengine hata huko vijijini walikotoka hawapakumbuki tena. Wanasubiri mpaka wafe ndo wapelekwe wakiwe kwenye masanduku ya bei mbaya.
 
Asante Madenge. Ni rahisi sana kujisahau. Ndiyo maana wengine hata huko vijijini walikotoka hawapakumbuki tena. Wanasubiri mpaka wafe ndo wapelekwe wakiwe kwenye masanduku ya bei mbaya.
Sisi ukoo mzima tuna utamaduni wa kukutana kijijini kwetu pamoja tukiwa na wanafamilia kila mwishoni au mwanzoni mwa kila mwaka
Hata sherehe zetu za harusi ni palepale kwa babu zetu hata uwe Profesa na hela zako
Ndo utaratibu tuliojiwekea
.........
 
bhinamuuuu
 

Namkubali sana huyu Mzee japo sijafanikiwa kuishi zama zake. Kuna kibao chake aliimba kwa Kiswahili na Sam Mangwana pia nakikubali mno.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…