Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,636
- 4,420
Mambo vp wadau
Umenifanya nikumbuke hii Nukuu Mkuu..Malcom X enzi za uhai wake aliwahi kukanyaga Zanzibar na kufanya mazungumzo na msomi mahiri kuwahi kutokea Zanzibar na mwanamapinduzi Abdulrahman Mohamed Babu kuhusu masuala ya Ujamaa na haki za watu weusi.
Bahati mbaya Babu hakuwahi kupatana na Karume na akahamishiwa Bara kikazi baada ya Muungano. Ni mmoja kati ya waasisi wa Muungano.
Bitoz tunaomba picha za Malcom X na Babu.
Jamaa Nyagei anajaribu kunipokonya tonge mdomoni.Naona umepata mchumba sasa...!
Nisubirie barua ya kujiuzulu ama?
Komaaaa!Jamaa Nyagei anajaribu kunipokonya tonge mdomoni.
Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app

Ngoja tuone, mie niko kimya kabisa.Alisema leo usiwe desperate
Emmyguy kasema eti unapiga vistuli kwa mtoto demiHapana ni ukarimu kwa mgeni tu

Iko njema sana. Karibu kwa show.Mambo vp wadau
Komaaaa!
Nyagei anajua kusali balaa...ngoja apige magoti huko kama hujakosa mwana![]()
Transcend Mambo?Emmyguy kasema eti unapiga vistuli kwa mtoto demi![]()
Emmyguy kasema eti unapiga vistuli kwa mtoto demi![]()
Mke pekee ndo mshauri wa mume ww utamshauri nini labdaMbona unanibania. Sifai kuwa mshauri?

Wew endelea kucheka tuu...
Pouwa demi..Transcend Mambo?
shedede mambo?Mke pekee ndo mshauri wa mume ww utamshauri nini labda![]()
Huyo nae mke watu sijui...
Wew endelea kucheka tuu...
Nyagei anafanya mambo huko whatsapp sasa hivi..
Tufanyie Hisani Utuletee Kesho J.Tatu MbaliJtatu nitaelezea vizuri kwanini hakumsaidia yule mtoto..
Na hicho ndicho kilichompa stress ya maisha..