Makapuku Forum

Makapuku Forum

usiku mwema kwa mara ingine tutaonana nikipona nitarudi rasmi

lee naomba tu uwe makini sipati picha ungerudi wewe unikute nataniwa hivyo nilivyokuta navuta picha tu ambacho kingetokea

mm huwa sipendi sana mautani ya hivyo

uwe na usiku mwema nakupendaa na nimekumiss sana hunnie
Relax shunie...

Lee ni wako tuu...
 
usiku mwema kwa mara ingine tutaonana nikipona nitarudi rasmi

lee naomba tu uwe makini sipati picha ungerudi wewe unikute nataniwa hivyo nilivyokuta navuta picha tu ambacho kingetokea

mm huwa sipendi sana mautani ya hivyo

uwe na usiku mwema nakupendaa na nimekumiss sana hunnie
Atarudi kivuruge wako ondoa shaka shem
 
wakuu tuwe na siku njema ,,

sina la ziada katika segment mpya "upuuzi wa lee"

shunie ugua pole Mungu yu nasi utapona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom