Tupo kitandaniNyie hamlali
Na nani?Tupo kitandani
Good music babaa
Thanks for it.
Ila Obe itanichukua muda mrefu kuamini kua ww na Shimba ni watu tofauti..
Kweli wewe popo aisee nimekubali.Umekuwa ukidhani hivyo mara kwa mara, ipo siku uraona tofauti yetu katika kuandika.
Mdau, wanasema duniani wawili wawili na tone yangu ya kuandika ni tofauti kidogo na SHIMBA YA BUYENZE . Mimi naandika kiurahisirahisi, yeye huandika tofauti na mimi.
Ni kama maandishi ya Sembene Ousmane na Ngugi
Ha ahhahahahaKweli wewe popo aisee nimekubali.
Shimba Hua anatumia picha kwenye post zake hapo ndio mmepishana..
Mm ndio nasaka usingizi..Ha ahhahahaha
Umeona eeh, nimeamka tu nipige swala kidogo
Ulale sasa kaka
Au umeachwa na uongo