EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
mkuu rudi kazini kwako hata kwa mwezi 1 tu hali ya hewa itulie
kuna haja hiyo mkuu nalifanyia kazi hilo...Sawa boss mimi nipo na madamTotoz za kolomije mkuu..
yap fanya uokoe hiyo familia aisee![]()
![]()
![]()
kuna haja hiyo mkuu nalifanyia kazi hilo...
kiukweli nashukuru sana ,wewe unaweza kuwa mshauri wangu kwa kweliiPole..ndoa ndivyo zilivyo. If you need someone to talk to am here!
na shedede tena ? ndoo maaan anilimtimuandio mana nakupenda shedede nimependa mistari ya mwisho
Ooh nimeelewa sasa. Thanks

Lala salamausiku mwema kwa mara ingine tutaonana nikipona nitarudi rasmi
lee naomba tu uwe makini sipati picha ungerudi wewe unikute nataniwa hivyo nilivyokuta navuta picha tu ambacho kingetokea
mm huwa sipendi sana mautani ya hivyo
uwe na usiku mwema nakupendaana nimekumiss sana hunnie
Ananionea huruma yanayoendelea acha nilog out nitakufa huku najionana shedede tena ? ndoo maaan anilimtimua
Karibu sana mkuu. Gamboshi nitakupeleka mwenyewe. Tunajaribu kuipromote Gamboshi na Kolomije kama vituo muhimu vya utalii wa ndani. Utapafurahia sana hasa nyakati za usiku "ukifunguliwa" macho na kuona!Niko nakomaa na mrembo demi hadi anikubalia. Akikubali nitamtoa 'out' hadi alikotokea SHIMBA YA BUYENZE akapaone Gamboshi.
Lala Shunie..muda umeenda sana. Ugua pole!Aisee naanzaje kukuacha huyo jamaa namjua mm kweli daah acha nilale hata kama nazidiwa nipo kitandani usiku mwema
si mchezokiukweli nashukuru sana ,wewe unaweza kuwa mshauri wangu kwa kwelii
Oooh ili nilale uwe na lee auLala Shunie..muda umeenda sana. Ugua pole!
Kweli umuhimu wa mtu utambulika pale anapotowekayap fanya uokoe hiyo familia aisee
Usitoe shem wane.baby nakupenda wewe tu hivi nifanye nini ili uamini au nikupe password ya jf
Mshauri wako how.....kiukweli nashukuru sana ,wewe unaweza kuwa mshauri wangu kwa kwelii