Makapuku Forum

Makapuku Forum

Niko nakomaa na mrembo demi hadi anikubalia. Akikubali nitamtoa 'out' hadi alikotokea SHIMBA YA BUYENZE akapaone Gamboshi.
Karibu sana mkuu. Gamboshi nitakupeleka mwenyewe. Tunajaribu kuipromote Gamboshi na Kolomije kama vituo muhimu vya utalii wa ndani. Utapafurahia sana hasa nyakati za usiku "ukifunguliwa" macho na kuona!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom