Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
seriously nahisi kuzidiwambona unashukuru ? mimi nina mke sio mchumba
Pole mamy wanguAsante mondray nahisi kuzidiwa tena na niliyoyakuta humu
hivi kweli wewe ni wa kuumwa mimi nisijuee...kwelii lile lijamaaa liliamua aiiiseeeehnahivi ninavyoumwa naweza kufa
Asante naww pia shemNimewamiss jamaan sana mashemela zangu na mama mchungaji nawapenda sana
miss u lee wangu nakupenda sana nimekumiss mpk naumwa
nimejiskia nafuu kidogo nimepita kuwasalimia kichwa kilikua kinaniuma sana nikaenda kupima nimeambiwa nina malaria
muwe na usiku mwema nawapenda sana
My pleasure!mimi niko poa kabisa shaka ondoa
Asante Mkuu.O.k. karibu
Baba nikiwa sipo ndio yanakua haya naachika ghafla

We kumbe kidumeWee huoni nakomaa na demi.

Vipi shoga?seriously nahisi kuzidiwa
namuooona umemuitaaaaa ?Umemuona shunie?
jamaa yupi huyo kichwa kilikua kinaniuma sana hata simu naona mzigo naizima sakayo kanipigia jana jioni kanipata ananiuliza namwambia naumwa sana hata simu naona mzigo tuhivi kweli wewe ni wa kuumwa mimi nisijuee...kwelii lile lijamaaa liliamua aiiiseeeeh
Aku. Mi simfati Husna maana najua huyo ni shemela wangu.Mkuu stop kumfata-fata husna ohooo...![]()
![]()