EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Nimekuzimikia mie, nataka nijidai kama wenzangu wanavyonilingishia.Utaificha ilipokuwepo. Acha maneno mwaga sera!
Nimekuzimikia mie, nataka nijidai kama wenzangu wanavyonilingishia.Utaificha ilipokuwepo. Acha maneno mwaga sera!
HapanaaUnanisemea?
Akifika unishtueNamsubiri mrembo hapa kituoni.
Umeona eeh!!!!
Hapana ni kweli sichocheiWe mchochezi
kafanyajeCc.shunie
Karibu.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.
Mawaona nawaona mawaonaaa Makapuku!!!
Hebu subiri. Nakuweka kwenye waiting list.Nimekuzimikia mie, nataka nijidai kama wenzangu wanavyonilingishia.
Upo na nani shedede?Tupo
Baby mm nakupenda wewe tu hakuna mwengineCc:husna muba ebu njoo mamy ujibu hizi tuhuma
Sawa umeshindaHapana ni kweli sichochei
Usirudie tena



Emmyguy nilijua jina la kike
Popote ulipo emmyguy pardon me![]()
uko poa lakini mrembo ?Okeee
O.O.k. niote bby yakeUmeona ee..?!
Asante baby na we chukua hii
![]()
Baby mi nalala now

achana nao make wote hao wamekutana pasua kichwa wana nyota ya kukimbiwaa

Aiseee hii mpya nahisi kufashunie alinikimbiaa ..ntafanyaje sasa na mimi nina moyo