Makapuku Forum

Sio tu jina bali hadi benders imebadilishwa
Lakini vita na umaskini viko pale pale
Ndiyo nchi maskini # 1 duniani japokuwa ina rasilimali za madini
.......
Nchi tajiri lakini wananchi wake maskini wa kutupwa.

Rais Kabila amefuta uchaguzi mkuu mwaka huu kwa kisingizio cha kukosa pesa.

Afrika haijawahi kuaniangusha.
 
Awwwwwh! Amina mkuu..

Tumepokea
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…