Makapuku Forum

Asante kwa kumi kubwa za leo bitoz

Aka mvuvi wa kambale
 
Makauzu kichizi ila Kundi la Taleban linawasumbua

Pia Afghanistan ipo kwenyec10 bora ya nchi maskini
.......
 
Ebolla huko ilitamba sana, na hawa jamaa nchi ambazo hawajaelimika ndio sehemu yao ya kufanya majaribio ya chanjo zao na kutengeneza magonjwa

Ila yule kiongozi wao wa zamani (Sankara) hata yeye nafikiri hakuwa na elimu kubwa lakini ni miongoni mwa viongozi maarufu Afrika kuwahi kutokea
.......
 
Ahsante mkuu

Nimekaribia

All the time God is good
 
Amen mama Mchungaji ubarikiwe
 


All the time God is good
 
Ahsante mkuu Bitoz kwa kumi bora

All the time God is good
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…