Makapuku Forum

Makapuku Forum

1Lina Medina
775df7b6d14821011958006e42f63fab.jpg
fd91565de52e6c16c6e3259b5566ba09.jpg

Ni binti wa Kiperu aliyebahatika kupata mtoto mwaka 1939
Alikuwa na umri wa miaka 5 na miezi 7.
.
.
.
Naona leo kumepoa sana
Tukutane kesho
..........
Thanks kwa top ten Bitz
 


Karibu makapuku, kwa kuanzia 'wholesome water' yaani maji ya jumla ni maji yenye kujumlisha potable water na palatable water.

Potable water yanatokana na maji yaliyo kwenye mtungi, yaani a pot, haya mara nyingi huwa yamechemshwa, kuwekewa 'shabu', yananuka moshi lakini hayana shida kunywa.

Palatable wota ni maji ambayo hayana hivyo nilivyotaja hapo juu, haya yako kwenye mazingira mazuri hayana harufu wala ladha yoyote ni maji tena ni ya bure (kwa sauti ya Kingwendu)

 
Karibu makapuku, kwa kuanzia 'wholesome water' yaani maji ya jumla ni maji yenye kujumlisha potable water na palatable water.

Potable water yanatokana na maji yaliyo kwenye mtungi, yaani a pot, haya mara nyingi huwa yamechemshwa, kuwekewa 'shabu', yananuka moshi lakini hayana shida kunywa.

Palatable wota ni maji ambayo hayana hivyo nilivyotaja hapo juu, haya yako kwenye mazingira mazuri hayana harufu wala ladha yoyote ni maji tena ni ya bure (kwa sauti ya Kingwendu)


Uchambuzi murua kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom