Makapuku Forum

Makapuku Forum


Tatizo unaleta utani uliopitiliza
Binafsi sipendi kujibujibu watu hata nitukanwe but leo magumashi ni mengi hivyo nikaamua kumjibu mtu kulingana na post zake
Watu wanazungua
................................

Mkuu haya ni majukwaa tu, unatakiwa kama ulilalamika juu ya wakongwe kuwamistreat wageni na kuanzisha movement ya aina hii na ikafanikiwa usilewe sifa na kuanza wewe kuwa na zile zile tabia za wale waliosababisha wewe kuanzisha movement hii.

Observe hii kitu, mimi siyo Kapuku wala mkongwe, kote nahusika vizuri tu ndo maana huku utaniona na kule utaniona.

Toka JF ianze sijawahi kumdharau mtu, kumtukana mtu wala kugombana na mtu, na hakuna hata mmoja anayeweza kushuhudia juu ya hili, ni kwa sababu naichukulia JF yote na members kama familia bila kujali wewe ni mgeni wala mwenyeji.
 
Yote kheri
Maelezo yapo post # 3
I'm not star
I'm Kapukuz
Ukinichukia sipungukiwi kitu chochote
Kunijibu ni uamuzi wako
Napenda kuwa peace na kila mtu

Lakini samtaimu uvumilivu unanishinda
...................

Baadhi ni test unafanyiwa, kuna mtu anaweza kukuchokoza makusudi tu ili aone reaction yako, na kama uk-react kwa jazba yeye anascore na kuna watu watakuona aah, kumbe naye ni wale wale.

Baadhi ya confrontation unaziacha kama hazikupunguzii kitu wala kushusha thamani yako.
 
Mkuu haya ni majukwaa tu, unatakiwa kama ulilalamika juu ya wakongwe kuwamistreat wageni na kuanzisha movement ya aina hii na ikafanikiwa usilewe sifa na kuanza wewe kuwa na zile zile tabia za wale waliosababisha wewe kuanzisha movement hii.

Observe hii kitu, mimi siyo Kapuku wala mkongwe, kote nahusika vizuri tu ndo maana huku utaniona na kule utaniona.

Toka JF ianze sijawahi kumdharau mtu, kumtukana mtu wala kugombana na mtu, na hakuna hata mmoja anayeweza kushuhudia juu ya hili, ni kwa sababu naichukulia JF yote na members kama familia bila kujali wewe ni mgeni wala mwenyeji.
OK
.......
 
Baadhi ni test unafanyiwa, kuna mtu anaweza kukuchokoza makusudi tu ili aone reaction yako, na kama uk-react kwa jazba yeye anascore na kuna watu watakuona aah, kumbe naye ni wale wale.

Baadhi ya confrontation unaziacha kama hazikupunguzii kitu wala kushusha thamani yako.
OK
......
 
Mkuu haya ni majukwaa tu, unatakiwa kama ulilalamika juu ya wakongwe kuwamistreat wageni na kuanzisha movement ya aina hii na ikafanikiwa usilewe sifa na kuanza wewe kuwa na zile zile tabia za wale waliosababisha wewe kuanzisha movement hii.

Observe hii kitu, mimi siyo Kapuku wala mkongwe, kote nahusika vizuri tu ndo maana huku utaniona na kule utaniona.

Toka JF ianze sijawahi kumdharau mtu, kumtukana mtu wala kugombana na mtu, na hakuna hata mmoja anayeweza kushuhudia juu ya hili, ni kwa sababu naichukulia JF yote na members kama familia bila kujali wewe ni mgeni wala mwenyeji.
Nimekupenda bure mkuu, heshima muhimu japo hatuonani wakuu,
 
d3bf36f6f9694f467a4ebc79c890cce3.jpg

3c93f302ad3a1fba1b4dfe930a794dcf.jpg
 
Pamoja mkuu.
Wakuu ninapenda sana amani, shari nimefanya sana cjafaidi zaidi ya ku loose, nimechagua amani na kuheshimiana inalipa.
Kiufupi kila mtu ni raisi katika serikali ya maisha yake, tuna muono tofauti, mawazo tofauti, uwezo wa kufikiri na kutenda tofauti na tunavutiwa kusikia au kusema tofauti tofauti hivyo naomba tuchukuliane hivyo hivyo na tujadiliane na kukosoana kwa STAHA WAKUU
 
mie naomba kutumia jukwaa hili kufikisha kilio changu kwa mods

nashindwa ku anzisha uzi mpya wowote isipokuwa kuanzia kwenye Jukwaa la siasa kuelekea juu nimelalamika sehemu nyingi mno labda kupitia jukwaa hili nitasikilizwa kilio changu
 
Wakuu ninapenda sana amani, shari nimefanya sana cjafaidi zaidi ya ku loose, nimechagua amani na kuheshimiana inalipa.
Kiufupi kila mtu ni raisi katika serikali ya maisha yake, tuna muono tofauti, mawazo tofauti, uwezo wa kufikiri na kutenda tofauti na tunavutiwa kusikia au kusema tofauti tofauti hivyo naomba tuchukuliane hivyo hivyo na tujadiliane na kukosoana kwa STAHA WAKUU
Pamoja mkuu.
Umenena poa sana.
 
mie naomba kutumia jukwaa hili kufikisha kilio changu kwa mods

nashindwa ku anzisha uzi mpya wowote isipokuwa kuanzia kwenye Jukwaa la siasa kuelekea juu nimelalamika sehemu nyingi mno labda kupitia jukwaa hili nitasikilizwa kilio changu
Mkuu sijakupata vizuri!
Unamaanisha huwezi kufungua uzi wowote nje ya jukwaa la siasa ama vipi?
 
mie naomba kutumia jukwaa hili kufikisha kilio changu kwa mods

nashindwa ku anzisha uzi mpya wowote isipokuwa kuanzia kwenye Jukwaa la siasa kuelekea juu nimelalamika sehemu nyingi mno labda kupitia jukwaa hili nitasikilizwa kilio changu
Tatizo lako mbona geni....ukienda jukwaa husika si kitatokea kitufe cha blue ? Km hapa chini
ce1d37f6859db3e5dfdec0ff495231f7.jpg

..............
 
Mkuu sijakupata vizuri!
Unamaanisha huwezi kufungua uzi wowote nje ya jukwaa la siasa ama vipi?

Fuatana nami nikielezea kwa nadharia

mie natumia compyuta mara nyingi

nikifika pale kwenye menu ya create thread , napata mtirirko wa general forums tu na forum ya mwisho inayoonekana kwangu ni Politics

Nimeomba maelezo mara kadhaa kutoka kwa wahusika ikiwa ninakosea namna ya kufika lakini sijawahi pata msaada wowote. kwenye forums nyingine mfano majukwaa yangu pendwa ni ya ujasiriamali, mmu na la kikubwa siyaoni na sijui nafikaje huko

mbaya zaidi siku moja nilikuwa nahitaji ushauri wa kitabibu na nilikuwa porini JF amabyo siku zote niliitegemea sana upande huo ikanilet down kwa kuwa nilishindwa kupost thread kwenye jukwaa hilo

Nimekuwa najiuliza kama nimepigwa ban au ni kitu kingine as wakuu mods ahakauna hata moja mpak leo hii mkuu Youngblood una respond wewe ndio mtu pekee walau umeonyesha hata kutakakujua nini kinanisibu

Naanza kufikiria kulipia kuwa Premium member labda huko nafuuu

au nilipigwa BAN sijajua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom