Makapuku Forum

Makapuku Forum

Haikuhusu
Usitupangie cha kuchat
Kila kitu ni FREE
..........................

Mkuu sisi tumeamua kuchanganya wewenyewe na wala hatuoni tabu.

Ha wanaolalamika ndo nawashauri, mambo ya serious kwenye jukwaa la mammbo ya kijinga wapi na wapi?

Thread imegeuka na kuwa ya mtongozano 24/7, masaa mengi wachangiaji ni wale wale wanaotongozana, Hapo unategemea nini kama si kupooza?

mf. amaizing alikwishaleta wazo la kilimo cha matikiti na wengi tuliishia ku-like tu bila kuchangia au kushauri..

Leo kuna mtu katoa wazo "kwa nini tusipeane michongo, na mbinu za kilimo na kujenga ukaribu". Matokeo yake kama kawaida yetu tumeishia ku-like kama kawaida yetu.

tubadilike

Ameizing alitoa somo la kilimo cha matikiti wakamponda, mnataka nin tena?
 
Hivi kuna mahali nimeandika inaniuma?

Nimezungumzia habari ya kutochanganya majukwaa, mambo ya elimu yana jukwaa lake, biashara na uchumi hivyo hivyo, ujasiriamali pia na kadhalika.

Sasa nilikuwa nimemquote jamaa baada ya kulalamika kwamba watu hawachangii kwenye issues za namna kama aliyoleta kwa kumweleza kwamba hili siyo jukwaa husika kwa alichokileta.
Usiumie hakikuelewa tu
 
Hivi kuna mahali nimeandika inaniuma?

Nimezungumzia habari ya kutochanganya majukwaa, mambo ya elimu yana jukwaa lake, biashara na uchumi hivyo hivyo, ujasiriamali pia na kadhalika.

Sasa nilikuwa nimemquote jamaa baada ya kulalamika kwamba watu hawachangii kwenye issues za namna kama aliyoleta kwa kumweleza kwamba hili siyo jukwaa husika kwa alichokileta.
Usiumie hakukuelewa tu
Usiumie hakikuelewa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom