Makapuku Forum

Makapuku Forum

Fuatana nami nikielezea kwa nadharia

mie natumia compyuta mara nyingi

nikifika pale kwenye menu ya create thread , napata mtirirko wa general forums tu na forum ya mwisho inayoonekana kwangu ni Politics

Nimeomba maelezo mara kadhaa kutoka kwa wahusika ikiwa ninakosea namna ya kufika lakini sijawahi pata msaada wowote. kwenye forums nyingine mfano majukwaa yangu pendwa ni ya ujasiriamali, mmu na la kikubwa siyaoni na sijui nafikaje huko

mbaya zaidi siku moja nilikuwa nahitaji ushauri wa kitabibu na nilikuwa porini JF amabyo siku zote niliitegemea sana upande huo ikanilet down kwa kuwa nilishindwa kupost thread kwenye jukwaa hilo

Nimekuwa najiuliza kama nimepigwa ban au ni kitu kingine as wakuu mods ahakauna hata moja mpak leo hii mkuu Youngblood una respond wewe ndio mtu pekee walau umeonyesha hata kutakakujua nini kinanisibu

Naanza kufikiria kulipia kuwa Premium member labda huko nafuuu

au nilipigwa BAN sijajua?
Jaribu kuupdate
Km umekula ban unakuwa GUEST tu huwezi hata kureply
......................
 
Fuatana nami nikielezea kwa nadharia

mie natumia compyuta mara nyingi

nikifika pale kwenye menu ya create thread , napata mtirirko wa general forums tu na forum ya mwisho inayoonekana kwangu ni Politics

Nimeomba maelezo mara kadhaa kutoka kwa wahusika ikiwa ninakosea namna ya kufika lakini sijawahi pata msaada wowote. kwenye forums nyingine mfano majukwaa yangu pendwa ni ya ujasiriamali, mmu na la kikubwa siyaoni na sijui nafikaje huko

mbaya zaidi siku moja nilikuwa nahitaji ushauri wa kitabibu na nilikuwa porini JF amabyo siku zote niliitegemea sana upande huo ikanilet down kwa kuwa nilishindwa kupost thread kwenye jukwaa hilo

Nimekuwa najiuliza kama nimepigwa ban au ni kitu kingine as wakuu mods ahakauna hata moja mpak leo hii mkuu Youngblood una respond wewe ndio mtu pekee walau umeonyesha hata kutakakujua nini kinanisibu

Naanza kufikiria kulipia kuwa Premium member labda huko nafuuu

au nilipigwa BAN sijajua?
Mkuu ngoja kwanza niwashe pc nichek hapo kwenye tatizo then nitarudi.

Wakuu mwenye kujua hii kitu vizuri tuungane kumsaidia huyu jamaa.
 
Mkuu hili jukwaa mlilifungua kwa sababu za ubaguzi mnaoupata kwa kutukanwa na wakongwe, naona sasa ninyi ndo mmekuwa wa ...!

Rais wenu Bitoz naona ndo anaongoza sasa hivi kwa kejeli hata za kukaribia kuwazidi wakongwe.
Toa tamko basi mana mida kama hii speed yetu humu ndo inaongezeka kwa kasi...unataka nini kwani?
 
Mkuu Horseshoe Arch, mawazo yako ni mazuri sana nimeyapenda. Na ni siku kadhaa zilizopita nilikuwa nahitaji ramani ya nyumba atleast yenye vyumba viwili(ikiwemo master room), sebule na kitchen, ikiwa na mjumuiko wa gharama nzima ya nyumba yote.

Nahitaji sana msaada wako braza.

Nipe tabia ya eneo lako mkuu...unajenga wapi?
 
Baadhi ni test unafanyiwa, kuna mtu anaweza kukuchokoza makusudi tu ili aone reaction yako, na kama uk-react kwa jazba yeye anascore na kuna watu watakuona aah, kumbe naye ni wale wale.

Baadhi ya confrontation unaziacha kama hazikupunguzii kitu wala kushusha thamani yako.
Kwaiyo we mchokozi!!!? Basi haya tushakuelewa.. Tunaweza endelea?
 
hivi ndivyo ninavyopata, OS ya computer yangu ni Windows8
 

Attachments

  • jamiithreads.jpg
    jamiithreads.jpg
    91.3 KB · Views: 20
asante na shukrani kwa kujitolea kwenu
Au ukitaka njia simple tumia Android App ya Jf.
Fuata maelezo haya hapa.
1.uki login kabla ya kusoma thread yeyote utaona alama ya "+" chini kabisa kulia.
5626ff93e1927ba39f4287d474279031.jpg


2.Click then itakuletea maneno yafuatayo.
6613b1ed31a727296092db863886828f.jpg


3.chagua *new topic*

4.itatokea sehemu ya imeandikwa sub forums click hapo then utaona majukwaa yote utachagua unalotaka
f9a5b8ba95f0b9c32420687627c3ae5a.jpg


326adf893ad9b854628c0597ff8848a0.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom