EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Umepata jibu au lifanyiwe kaz zaid?Nipo kaka, habari ya Maisha vipi?
le mdogoz
asante harakati zinasonga.?Tuko poa mkuu.
Karibu
Karibuni tutumbue hela ya urithi
Natamani ningelikuwa maeneo ya karibu na utumbuaji wa hela za urithi.Tunaweka heshima....

Wewe mjuaji kwenye mambo ya kijinga umefuata nini.
Mkuu wapi kwenye mambo ya kijinga?????
Kwani sisi kuwa serious kwenye jukwaa la wajinga kuna shida gani.?Kwani chitchat ni jukwaa la mambo siriaz?
Majukwaa ya ujasiriamali, biashara, uchumi si yapo?
Kwani sisi kuwa serious kwenye jukwaa la wajinga kuna shida gani.?
Kwani tukichanganya wewe inakuuma nini?Mtachanganya mambo, hapa ni ujinga ujinga tu!
Kwani majukwaa ya seriuos si yapo?
Kama kawaida.asante harakati zinasonga.?
Oya usilete kwere hapaMtachanganya mambo, hapa ni ujinga ujinga tu!
Kwani majukwaa ya seriuos si yapo?
Salama mkuu,sabato njema.Ikumbuke siku ya sabato na uitakase. Habari zenu wakuu...
Kwani tukichanganya wewe inakuuma nini?
Mkuu sisi tumeamua kuchanganya wewenyewe na wala hatuoni tabu.Hivi kuna mahali nimeandika inaniuma?
Nimezungumzia habari ya kutochanganya majukwaa, mambo ya elimu yana jukwaa lake, biashara na uchumi hivyo hivyo, ujasiriamali pia na kadhalika.
Sasa nilikuwa nimemquote jamaa baada ya kulalamika kwamba watu hawachangii kwenye issues za namna kama aliyoleta kwa kumweleza kwamba hili siyo jukwaa husika kwa alichokileta.
HaikuhusuHivi kuna mahali nimeandika inaniuma?
Nimezungumzia habari ya kutochanganya majukwaa, mambo ya elimu yana jukwaa lake, biashara na uchumi hivyo hivyo, ujasiriamali pia na kadhalika.
Sasa nilikuwa nimemquote jamaa baada ya kulalamika kwamba watu hawachangii kwenye issues za namna kama aliyoleta kwa kumweleza kwamba hili siyo jukwaa husika kwa alichokileta.
poa ila hiyo sabato duuuhIkumbuke siku ya sabato na uitakase. Habari zenu wakuu...
basi sawa mshamba haelewi.Kama kawaida.