Makapuku Forum

Makapuku Forum

46408b555431ddec858e2273102e6b74.jpg
e926ddcfe558e6a708baac011283bae1.jpg
 
Kwani tukichanganya wewe inakuuma nini?

Hivi kuna mahali nimeandika inaniuma?

Nimezungumzia habari ya kutochanganya majukwaa, mambo ya elimu yana jukwaa lake, biashara na uchumi hivyo hivyo, ujasiriamali pia na kadhalika.

Sasa nilikuwa nimemquote jamaa baada ya kulalamika kwamba watu hawachangii kwenye issues za namna kama aliyoleta kwa kumweleza kwamba hili siyo jukwaa husika kwa alichokileta.
 
Hivi kuna mahali nimeandika inaniuma?

Nimezungumzia habari ya kutochanganya majukwaa, mambo ya elimu yana jukwaa lake, biashara na uchumi hivyo hivyo, ujasiriamali pia na kadhalika.

Sasa nilikuwa nimemquote jamaa baada ya kulalamika kwamba watu hawachangii kwenye issues za namna kama aliyoleta kwa kumweleza kwamba hili siyo jukwaa husika kwa alichokileta.
Mkuu sisi tumeamua kuchanganya wewenyewe na wala hatuoni tabu.
 
Hivi kuna mahali nimeandika inaniuma?

Nimezungumzia habari ya kutochanganya majukwaa, mambo ya elimu yana jukwaa lake, biashara na uchumi hivyo hivyo, ujasiriamali pia na kadhalika.

Sasa nilikuwa nimemquote jamaa baada ya kulalamika kwamba watu hawachangii kwenye issues za namna kama aliyoleta kwa kumweleza kwamba hili siyo jukwaa husika kwa alichokileta.
Haikuhusu
Usitupangie cha kuchat
Kila kitu ni FREE
..........................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom