Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Usitafute sifa
Nenda kaoshe masufuria
................
Mkuu we sina tatizo na wewe, najua ni inferiority complex!
Usitafute sifa
Nenda kaoshe masufuria
................
Mkuu tumeshaelewana wenyewe.
SawaMkuu we sina tatizo na wewe, najua ni inferiority complex!
Asante mkuu.Mashamba yanapatikana njombe vijijini, kilolo Iringa, mufindi Iringa.. Karibu
Mkuu mimi naona haya malumbano uyapuuze, hayakufai kabsaaMkuu we sina tatizo na wewe, najua ni inferiority complex!
Asante Mrkaribu bibie
Unafanya nini sasa mkuu, ungepuuzia ungekufa?Sawa
Nenda kajisaidie ili uondoe gundu
Tatizo lako ni kiherehere
....................
PoapoaUnafanya nini sasa mkuu, ungepuuzia ungekufa?
Kwa hali hii jukwaa lakosa mvuto, kimya pia ni majibu bitoz
Kho Kho Kho kho...Hope mmeelewana for good.
asante mkuuhaya karibu
Cute b.Kho Kho Kho kho...
kabisa sijui uliwaza nin.?hakiendani nami?
Mkuu mimi naona haya malumbano uyapuuze, hayakufai kabsaa
hahahah...kukumbushana kuhusu ibada sio jambo bayakabisa sijui uliwaza nin.?
Sawa
Nenda kajisaidie ili uondoe gundu
Tatizo lako ni kiherehere
....................
Mkuu hili jukwaa mlilifungua kwa sababu za ubaguzi mnaoupata kwa kutukanwa na wakongwe, naona sasa ninyi ndo mmekuwa wa ...!
Rais wenu Bitoz naona ndo anaongoza sasa hivi kwa kejeli hata za kukaribia kuwazidi wakongwe.
Mkuu tufanye haya mambo yameisha,tufanye mambo mengine ya maana..I am reserving my comment sir, najua nikiandika hutakaa uniquote wala niku-quote.
Ila wewe siyo star kama unavyodhani, nimesema ninaelewa matatizo yako, so najua hata wewe unafanya bila kijijua kwamba unachofanya ndo ulichokuwa unakikataa.
Wewe kula kimya huna haja la kutetea jukwaa hili..lina wenyewe mkuuPoapoa
Sitamjibu
Samtaimu wanaudhi
.................
Yote kheriI am reserving my comment sir, najua nikiandika hutakaa uniquote wala niku-quote.
Ila wewe siyo star kama unavyodhani, nimesema ninaelewa matatizo yako, so najua hata wewe unafanya bila kijijua kwamba unachofanya ndo ulichokuwa unakikataa.