Makapuku Forum

Makapuku Forum

Thread imegeuka na kuwa ya mtongozano 24/7, masaa mengi wachangiaji ni wale wale wanaotongozana, Hapo unategemea nini kama si kupooza?

mf. amaizing alikwishaleta wazo la kilimo cha matikiti na wengi tuliishia ku-like tu bila kuchangia au kushauri..

Leo kuna mtu katoa wazo "kwa nini tusipeane michongo, na mbinu za kilimo na kujenga ukaribu". Matokeo yake kama kawaida yetu tumeishia ku-like kama kawaida yetu.

tubadilike
Asante Mkuu kwa wazo zuri, naamini si Makapuku wote tunafanya kazi ama tumejiajili. Kuna wengine hawana kazi, tukianzisha huu mpango wa kuelimishana na kupeana maujuzi mbalimbali naamini tutadhihirisha ukapuku wetu na heshima tutazidi kuikuza zaidi.

Ni Mtazamo tu.
 
f74331ade7b32313e7e3f5069ccfae38.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom