Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
mambo ya jinohayo nililiwa mm usiku wa manane na kaka angu asee ikabidi tulalingoe ukiona mwanaume analia jua yamemfikaRoot canal! Maweeee! Pole mkuu. I hope everything will go well. Hata mimi huyu daktari kanichimba mkwara kama mambo yasipokaa sawa basi ni either root canal au kung'oa. Niko tayari kuling'oa kwa sababu shezy type jino linanimalizia hela balaa hili. Nitaling'oa tu niachane nalo kwa kweli na uzuri ni la huko nyuuuma hata akina Shunie hawatajua kama sina jino![]()

urongooo

♂️
takii
