Makapuku Forum

Makapuku Forum

Km kuna mgojwa wa jino aje nimpe dawa
Nipo hapa Husna. Almost three hrs wanahangaika kuliwekea crown. Na ili kuweka crown unajua ni mpaka walikate mpaka wakati mwingine wana-expose nerves kabisa. Hoi mbaya japo wamenipa dawa za kutuliza maumivu. Shedede hatagomba au ulimpiga chini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom