Makapuku Forum

NGUVU YA MSAMAHA
TUSAMEHE BILA KUCHAGUA TULICHOKOSEWA
 
hapa akiwa na mdogo wake
Sikumbuki kilichomliza Next season nafikiri atasajiliwa na timu kubwa Everton hawana jeuri ya kumbakiza
.
.
.
Shukrani mkuu kwa historia
Nikutakie sabato njema
.........
 
HBD Yaya Toure
 
HBD Romelu Lukaku
 
Aksante sana
 
Kizazi chao cha dhahabu Kodivaa cha akina Gervinho,Kalou n.k kilichemsha tofauti na matarajio ya wengi
Wakaja kubeba AFCON kichovu wakati wameshaanza kusambaratika huku wengine wakiwa wameshabwaga manyanga
.......
Timu yao hasa ile ya akina Drogba imeingia katika timu bora ambazo hazikuwahi kutwaa taji kama ilivy0 kwa England ya 2002 mpaka 2010.

Uholanzi ya mwaka 2006 mpaka 2012.

Na sasa Ubelgiji ya 2014 -
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…