BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Nimependa mavazi yake,kajitahidi sana ,ni mrembo nitatafuta kazi zake2/Joselyn Damas
Huyu ni muongoza vipindi vua luninga huko Ghana
Pia ni mwigizaji anapatikana kwenye muvi kama Silver Rain,A Sting in aTale na mfululizo wa muvi za Adams Apples
Ana umri wa miaka 36 lakini anaonekana kama kigori
........
Mmmh,sijui ,ni mtazamo wangu tu dearkama huyo ni model mama mchuchu lazima avae hivyo tumuone
ngoja niangalie tena hzi picha nikutafutie umbo lako kwanzaMfyuuuu sina hata ninaefanana nae mm nipo kama mti
Itakuaje bila mswa nini?Mzuri nimeipenda hiyo nguo yake ya kitenge ya pili ngoja nimpelekee fundi wangu wa kibarazani akanishonee
Kwani wasio na misambwanda huwa hawaporomoki? Father time spares no one, isn't it? Akifikia hatua ya kuporomoka na mimi nitakuwa nimeporomoka kwa hivyo tunakwenda kwenye hayo maporomoko pamoja na miporomoko yetu HAPPILY. Kwema mtumishi?
Jirani adimu siku hiziItakuaje bila mswa nini?
sijakuelewa mama mchuchu bila niniItakuaje bila mswa nini?
cc: Shunii4/Juliet Ibrahim
Huyu ni binti wa Kighana anayeonekana zaidi kwenye muvi za Kinigeria
Ameigiza kwenye 4 Play,..30 Days In Atlanta na zingine kemkem
Ana umri wa miaka 31
.........
Ubarikiwe sana jamani Mungu aliumba na bado anaumba tumshukuru sana sana kwa uumbaji wake ...watu ni wazuri..wanavipaji..wasomi..hakika tumshukuru Mungu1/Noni Zondi
Huyu ni celeb wa huko Afrika Kusini
Anaishi pia jijini London
Hujishughulisha na mambo mengi ya Sana'a ikiwepo muziki
.
.
.
Shukrani kwa mliofuatilia mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
...............
Sanaaaaaa !!!Asante kwa top 10 wapenda chura mtakua mmeinjoy
Hilo shape ndio huwa linanitoa udenda yaani "Motorola bapa lakini chaji inakaa"mm sio bonge shemela wangu kiflatscreen flan amaizing chura ananitosha mwenyewe
mm sifananii hata na mmoja mm ni flatscreen si unajua mtu akikwambia hivyocc: Shunii
Ubarikiwe sana jamani Mungu aliumba na bado anaumba tumshukuru sana sana kwa uumbaji wake ...watu ni wazuri..wanavipaji..wasomi..hakika tumshukuru Mungu
Asante mkuu Bitoz kwa makala hii kazi yako ni njema .
Shunie ukishona ule mshono ukitoka vzr niambie nami nijaribu,ila fundi mwambie kabisa yangu iwe ndefu.
Namba sabauh mama mchuchu najua umeifatilia Top 10, we una umbo namba ngapi uki-refer hzo picha za leo??
SijakuelewaHilo shape ndio huwa linanitoa udenda yaani "Motorola bapa lakini chaji inakaa"
The woman of God anaongelea msambwanda kuporomoka. Si tunaporomoka pamoja tu kama hivi?
ati umepigwa pasi sio?mm sifananii hata na mmoja mm ni flatscreen si unajua mtu akikwambia hivyo
Nimefurahi unaelewa hiyo kanuni mtumishiKwani wasio na misambwanda huwa hawaporomoki? Father time spares no one, isn't it? Akifikia hatua ya kuporomoka na mimi nitakuwa nimeporomoka kwa hivyo tunakwenda kwenye hayo maporomoko pamoja na miporomoko yetu HAPPILY. Kwema mtumishi?
mungu aliumbaNamba saba