Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Ameizing alitoa somo la kilimo cha matikiti wakamponda, mnataka nin tena?
Mkuu umetumia hukumu ya jumla, 'wakamponda.....mnataka nini...' sina hakika kama una taarifa kwamba binadamu tumeumbwa tofauti tofauti na tumepewa namna tofauti za kufikiri na kutoa maamuzi na maazimio ili tusaidiane! Unapotaka kutoa jambo lenye manufaa kwa jamii usisubiri kuwa acknowledged!