Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Poa mkuu.Karibu sana
Poa mkuu.Karibu sana
Alipewa za mbavu za kutosha baada ya kuona imekuwa soo akageuza kibao eti ilikuwa ni Isidingo na imeshaisha..hahahaha jamaa mtata sana..Nimetulia mkuu.
Mtumishi jambilo sikutegemea kama atachezea za mbavu.
we ni kapukuuThread imegeuka na kuwa ya mtongozano 24/7, masaa mengi wachangiaji ni wale wale wanaotongozana, Hapo unategemea nini kama si kupooza?
mf. amaizing alikwishaleta wazo la kilimo cha matikiti na wengi tuliishia ku-like tu bila kuchangia au kushauri..
Leo kuna mtu katoa wazo "kwa nini tusipeane michongo, na mbinu za kilimo na kujenga ukaribu". Matokeo yake kama kawaida yetu tumeishia ku-like kama kawaida yetu.
tubadilike
Mkuu mandela umeongea points sana.Thread imegeuka na kuwa ya mtongozano 24/7, masaa mengi wachangiaji ni wale wale wanaotongozana, Hapo unategemea nini kama si kupooza?
mf. amaizing alikwishaleta wazo la kilimo cha matikiti na wengi tuliishia ku-like tu bila kuchangia au kushauri..
Leo kuna mtu katoa wazo "kwa nini tusipeane michongo, na mbinu za kilimo na kujenga ukaribu". Matokeo yake kama kawaida yetu tumeishia ku-like kama kawaida yetu.
tubadilike
Good morning.Good morning kapukuuuu
ni kweli kabisa mkuu, wazo zuri na pia litasaidia wale wote wenye nia ..Moja ya malengo ya uunzishwaji wa forum ya makapuku ni pamoja na kupeana michongo ya namna ya kuchomoka, sasa sijaona mdau yeyote aliyechomokea say kwenye kilimo akitupa madini ni namna gani tupige makaratee tutoke pia! Ni vizuri kila mwenye ujuzi wowote akatupia hapa ili ikitokea mchongo wowote tubebane, ama mnaonaje wana?
Hongera kapuku. Msalimie mama... Ukija usisahau kutubebea mihogo tafadhali... Minuso haina diliMakapuku leo mwisho wa week mimi na mama yenu tunaenda shamba kuangalia maendeleo ya mihogo yetu shambani huko...wapi kuna mnuso leo nikitoka shamba nizamie? Shikamooni lakini!
MaanuuuuAlipewa za mbavu za kutosha baada ya kuona imekuwa soo akageuza kibao eti ilikuwa ni Isidingo na imeshaisha..hahahaha jamaa mtata sana..
salaam, kwemaa ?Good morning kapukuuuu
ni kweli na penye wengi pana mengi mkuu..Mkuu mandela umeongea points sana.
Mimi pia nilikuwa nashauri kama kuna mtu ana wazo ama jambo loloto linamsumbua na anaona anashindwa kuanzisha thread alete hapa sisi kama members tuweze kulichangia kwa ufasaha.
Ameizing alitoa somo la kilimo cha matikiti wakamponda, mnataka nin tena?Moja ya malengo ya uunzishwaji wa forum ya makapuku ni pamoja na kupeana michongo ya namna ya kuchomoka, sasa sijaona mdau yeyote aliyechomokea say kwenye kilimo akitupa madini ni namna gani tupige makaratee tutoke pia! Ni vizuri kila mwenye ujuzi wowote akatupia hapa ili ikitokea mchongo wowote tubebane, ama mnaonaje wana?
Ulipotea sana cute bAsante kapuku karibu tena
Asante shem nawe piaShem asubuh njema
Karibuuhodii
Some page ya 1 post number 3panasems je humu