Makapuku Forum

Makapuku Forum

Thread imegeuka na kuwa ya mtongozano 24/7, masaa mengi wachangiaji ni wale wale wanaotongozana, Hapo unategemea nini kama si kupooza?

mf. amaizing alikwishaleta wazo la kilimo cha matikiti na wengi tuliishia ku-like tu bila kuchangia au kushauri..

Leo kuna mtu katoa wazo "kwa nini tusipeane michongo, na mbinu za kilimo na kujenga ukaribu". Matokeo yake kama kawaida yetu tumeishia ku-like kama kawaida yetu.

tubadilike
 
Thread imegeuka na kuwa ya mtongozano 24/7, masaa mengi wachangiaji ni wale wale wanaotongozana, Hapo unategemea nini kama si kupooza?

mf. amaizing alikwishaleta wazo la kilimo cha matikiti na wengi tuliishia ku-like tu bila kuchangia au kushauri..

Leo kuna mtu katoa wazo "kwa nini tusipeane michongo, na mbinu za kilimo na kujenga ukaribu". Matokeo yake kama kawaida yetu tumeishia ku-like kama kawaida yetu.

tubadilike
we ni kapukuu
Umekosea thread kaka huku ni kwaakapuku tuu

IMETOLEWA NA MKUU WA MAJESHI
MAKAPUKU FORUM
ndg DEKITAMBI
 
Thread imegeuka na kuwa ya mtongozano 24/7, masaa mengi wachangiaji ni wale wale wanaotongozana, Hapo unategemea nini kama si kupooza?

mf. amaizing alikwishaleta wazo la kilimo cha matikiti na wengi tuliishia ku-like tu bila kuchangia au kushauri..

Leo kuna mtu katoa wazo "kwa nini tusipeane michongo, na mbinu za kilimo na kujenga ukaribu". Matokeo yake kama kawaida yetu tumeishia ku-like kama kawaida yetu.

tubadilike
Mkuu mandela umeongea points sana.
Mimi pia nilikuwa nashauri kama kuna mtu ana wazo ama jambo loloto linamsumbua na anaona anashindwa kuanzisha thread alete hapa sisi kama members tuweze kulichangia kwa ufasaha.
 
Moja ya malengo ya uunzishwaji wa forum ya makapuku ni pamoja na kupeana michongo ya namna ya kuchomoka, sasa sijaona mdau yeyote aliyechomokea say kwenye kilimo akitupa madini ni namna gani tupige makaratee tutoke pia! Ni vizuri kila mwenye ujuzi wowote akatupia hapa ili ikitokea mchongo wowote tubebane, ama mnaonaje wana?
ni kweli kabisa mkuu, wazo zuri na pia litasaidia wale wote wenye nia ..
 
Moja ya malengo ya uunzishwaji wa forum ya makapuku ni pamoja na kupeana michongo ya namna ya kuchomoka, sasa sijaona mdau yeyote aliyechomokea say kwenye kilimo akitupa madini ni namna gani tupige makaratee tutoke pia! Ni vizuri kila mwenye ujuzi wowote akatupia hapa ili ikitokea mchongo wowote tubebane, ama mnaonaje wana?
Ameizing alitoa somo la kilimo cha matikiti wakamponda, mnataka nin tena?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom