Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
hata hiko ni kilughahakuna mbadala wa neno "pm" huko ehn
hata hiko ni kilughahakuna mbadala wa neno "pm" huko ehn
Yeah. Yeye na Jr. huwa hawapatani kabisa. Hata kwenye mambo ya uchawi huwa wanatambiana na kutukanana sana. Wanajuana!Zamani alikuwa adui yangu mkubwa ila taratibu nimeanza kumuelewa
Kuna kipindi anaongea point kubwa mfano juzijuzi nimemuona akimpa makavu Mchawi jr baada ya kuandika kitu asichokijua "Vita ya Chechna na Herzogroaslavia"
Nikabaki kucheka tu maana ni ukweli mtupu
.
Sarajevo Herzegovina
.......
Mkuu habr ya kulisongesha taifa mbeleNimekuelewa mkuu
maana yake nini hasa?hata hiko ni kilugha
Ni salama kabisa mkuuMkuu habr ya kulisongesha taifa mbele
njoo tulemaana yake nini hasa?
Asante kiongozi tuko pamojaNi salama kabisa mkuu
ah sawaaanjoo tule
Kamanda iko mzimaah sawaaa
uzima upo, habari za kwakoKamanda iko mzima
unamtaka binamu uwe unaburudishwa na good music au shedede binamu anajua kulea mtu mzima huyo eb jibu ringaa kama kawaida yako wakichukuliwa ulie ulie

hahah! avatar ipo vipi mkuu...Hiyo avatar yako bhana!!!![]()
Nmeamka poa mama nmemmic shululu wanguumeamkaje mke mwee naona shemela kabanwa na majukumu masikini
Asante shemejiTuliza ball, kwa Shululu umelamba Dume.....usijibizane na mtu.....potezea kama hujaona